Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,592
- 1,599
Kuna tetesi zimeenea mtaani kuwa mshiriki wa Bongo Star Search ambaye amepanda chati kuliko kawaida kuwa ni kachero kutoka shirika la kijasusi la Marekani, CIA na yuko hapa nchini kwa kazi maalum. Inasemekana kuwa ndio maana ni mtu wa kujichanganya mno mpaka ameingia kwenye BSS na amewezakuzikonga nyoyo za watz weni. Tetesi hizi ni kweli?