Technician
JF-Expert Member
- Mar 30, 2010
- 841
- 222
Kwani Tanzania kuna siri?Kila kitu kiko wazi uchi,ukitaka passport hata mbili au nne utapata tena kwa pesa kichele tuu,ukitaka ubunge unapata tena kwa buku mbilimbili tu unapata kura zote,ukitaka urais unapata bila soo watumie TISS tuu.
Ukitaka uwaziri muone riz na salma mambo mswano bongo tambarare.sembuse usuperstar wa bongostarsearch kuwa mzungu acha apate.
Ukitaka uwaziri muone riz na salma mambo mswano bongo tambarare.sembuse usuperstar wa bongostarsearch kuwa mzungu acha apate.