OMBUDSMAN mtoto
Member
- Sep 28, 2012
- 87
- 32
Kuna Mzee anaitwa Lukindo? ITV kipindi cha kumekucha eti anasema kuwa yeye anamuamini mzee Kinana sana kama alivyokuwa Sokoine na ndiye pekee atakayeleta mapinduzi ya viwanda na uchumi kwa ujumla. So far ameshamtaja Kinana nadhani zaidi ya mara 12 kama mkombozi wa Taifa kuleta mapinduzi ya viwanda.
Hawa ndio wanaotumwa kujaribu ku-brainwash watu. Katika karne hii huwezi kuja ukatutamkia mtu ambaye amekuwa kwenye system muda wote wakati hayo mashirika yanabinafsishwa; amekuwa mmoja wa washauri wakuu na Meneja kampeni wa Rais kipindi kilichopita sasa ana nini kipya? JF amkweni muangalie TV muone anachoongea. Kinana ni Mtu wa kawaida kama wengine na nasema hana tofauti kuliko mzee Mkama. Mapinduzi yanaletwa na wananchi wote na viongozi wao wote kwa utashi wa maendeleo, uzalendo na kupambana na mafisadi sio mtu mmoja eti kuwa mu-arobaini nakataa kata kata!!.
Hawa ndio wanaotumwa kujaribu ku-brainwash watu. Katika karne hii huwezi kuja ukatutamkia mtu ambaye amekuwa kwenye system muda wote wakati hayo mashirika yanabinafsishwa; amekuwa mmoja wa washauri wakuu na Meneja kampeni wa Rais kipindi kilichopita sasa ana nini kipya? JF amkweni muangalie TV muone anachoongea. Kinana ni Mtu wa kawaida kama wengine na nasema hana tofauti kuliko mzee Mkama. Mapinduzi yanaletwa na wananchi wote na viongozi wao wote kwa utashi wa maendeleo, uzalendo na kupambana na mafisadi sio mtu mmoja eti kuwa mu-arobaini nakataa kata kata!!.