Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 11,540
- 12,398
Habari za Jumatatu wanajamvi!!
Kwa wale wenzangu poleni na mning'inio!
Nije kwenye mada,
Jana tukiwa na washikaji tunapiga Moja-Mbili na marafiki wakiwa na wenza wao, ikaja story eti linapokuja suala la wapenzi ambao wameaacha wanapoonana kwa mara nyingine baada ya kipindi fulani kupita huwa ni rahisi sana kurudisha majeshi na kurudia raha zile mlizokuwa mkipata wakati huo kabla ya kuachana!
Basi kila mmoja alitoa ushuhuda wake hapa na pale lakini kwa asilimia kubwa ya wadau waliokuwepo hapo (wakike na wakiume) walionekana kuafiki kuwa MTALAKA HATONGOZWI!
Wanajamvi hili lina ukweli wowote?
Naomba kuwasilisha kwa mjadala!
Kwa wale wenzangu poleni na mning'inio!
Nije kwenye mada,
Jana tukiwa na washikaji tunapiga Moja-Mbili na marafiki wakiwa na wenza wao, ikaja story eti linapokuja suala la wapenzi ambao wameaacha wanapoonana kwa mara nyingine baada ya kipindi fulani kupita huwa ni rahisi sana kurudisha majeshi na kurudia raha zile mlizokuwa mkipata wakati huo kabla ya kuachana!
Basi kila mmoja alitoa ushuhuda wake hapa na pale lakini kwa asilimia kubwa ya wadau waliokuwepo hapo (wakike na wakiume) walionekana kuafiki kuwa MTALAKA HATONGOZWI!
Wanajamvi hili lina ukweli wowote?
Naomba kuwasilisha kwa mjadala!