Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,044
- 158,740
Wanamakengeza
Wanamakengeza
Alietukana yuko sahihi kiasi fulani, aina ya maada naona imekaa ki form one kabisa..Mkuu, hakukua na haja ya kumtukana mtoa mada ili kufikisha ujumbe wako... Hii inaonesha dhahiri busara kichwani mwako ni kitu adimu kama manyoya kwenye tako la ngedere!
Acheni ubaguzi. Mwenyezi Mungu aliyeumba watu wa rika lote wakae pamoja hakukosea... Kama yeye ahahitaji kuelewashwa juu ya hiyo tabia aliyoinotice, ni kiasi tu cha kumuelekeza. Kama unaona hujavutiwa na mada na huna mchango wa maana si unapita tu kimya kimya? Kwani lazima upanue bakuli lako kama msema chochote?Alietukana yuko sahihi kiasi fulani, aina ya maada naona imekaa ki form one kabisa..
Kivip man?We ni Popoma.
Hihumaanisha hivi
Friends
Written with a pen, sealed with a kiss,
If you are my friend, please answer me this:
Are we friends, or are we not?
You told me once, but I forgot.
So tell me now, and tell me true,
So I can say I'm here for you.
Of all the friends I've ever met,
You're the one I won't forget.
And if I die before you do,
I'll go to Heaven and wait for you,
I'll give the angels back their wing
And risk the loss of everything.
There isn't a thing I wouldn't do,
To have a friend just like you!
Aliwazalo Mjinga, ndilo linalo mtokea.Habari zenu wana Jf
How bout Sunday I hope imeenda poa kwako kwangu iko bien.
Mara nyingi nikiwa nimekaa na kina kina Dada iwe kwenye gari,kanisani,sherehe, nk. Huwa wanapenda kucheza na kucha zao Mara anang'ata kucha alafu anakuangalia kwa kuibia ukigeuka tuu kumwangalia anaangalia pembeni au chini hii inaashiria nini jamani coz sielewagi.
Oooh kumbeehao ni wanakupenda Tongoza uone kama watakataa
Sawa mkuu nimeachaAcha kujishtukia,hawamaanishi chochote.
Uko sahihi sikuwaza upande wa pili, tafunga bakuli nisiwe msema chochoteAcheni ubaguzi. Mwenyezi Mungu aliyeumba watu wa rika lote wakae pamoja hakukosea... Kama yeye ahahitaji kuelewashwa juu ya hiyo tabia aliyoinotice, ni kiasi tu cha kumuelekeza. Kama unaona hujavutiwa na mada na huna mchango wa maana si unapita tu kimya kimya? Kwani lazima upanue bakuli lako kama msema chochote?
Na wewe umelipiza hahaaaMkuu, hakukua na haja ya kumtukana mtoa mada ili kufikisha ujumbe wako... Hii inaonesha dhahiri busara kichwani mwako ni kitu adimu kama manyoya kwenye tako la ngedere!