kina tesha niwatu wa wapi mkuu mwanza auInaelekea umezungukwa na wapare wengi huko ulipo🤣🤣🤣
Mimi nimezungukwa na akina Tesha hapa🤣🤣
kina tesha niwatu wa wapi mkuu mwanza auInaelekea umezungukwa na wapare wengi huko ulipo🤣🤣🤣
Mimi nimezungukwa na akina Tesha hapa🤣🤣
Ni watu wa Kibiti mkuukina tesha niwatu wa wapi mkuu mwanza au
Sio Kilimanjaro?Ni watu wa Kibiti mkuu
Nilikuwa namchengua tu mkuuSio Kilimanjaro?
MhhNilikuwa namchengua tu mkuu
Kwani usiku ile ni biashara mkuu?...Mke akikuta hela hata asiporudisha hiyo hela atailipa usiku wakati wa kulala kwa hiyo haina shida sana.
Dina lakini vibaya mjue hivyo mnavyotufanyiaNdio zinatulipa kazi tunazofanya
Dina lakini vibaya mjue hivyo mnavyotufanyia
Inawezekana! Kosa pesa uone maelekezo yako yanavyoanza kupinda pindaKwani usiku ile ni biashara mkuu?...
aisee...Tatizo lipo kwa wale wanawake ambao hawafui nguo za waume zao bali wanawarushia tu mabeki tatu tena bila hata kukagua mifuko ya hizo nguo za waume zao.
Sio hela zako bali ni za mumeoSasa hela zangu nimezikuta mfukoni kwako nakurudishiaje
Chake changu.Sio hela zako bali ni za mumeo
Ni posho ya ufuajiShikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums,
Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Sio kila muda tunapaswa kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya cold war, jeshi na ujasusi wa KGB. Leo ngoja tujadili kidogo changamoto za maisha katika jamii tunamoishi.
Eti ndugu zangu wamama na wadada wa JamiiForums Tanzania;
Mkikuta pesa kwenye mashati au suruali za waume zenu wakati wa kufua huwa mnawapa? Na kama hamuwapi ni kwanini?
Ufuaji mpaka posho tena?Ni posho ya ufuaji
Siku nikioa ntakuwa naacha hela makusudi ili nimpime akifanya hivyo Mara kadhaa ntamuandikia ka memo nakaacha kwenye mfuko "mke wangu haya ni maisha tu usiwe unachukua hela yangu bila kuniambia, alasivyo pepo utaisikia tu"
Hapo hata akikuta Mia atakurudishia..
ThubutuuuuuuShikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums,
Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Sio kila muda tunapaswa kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya cold war, jeshi na ujasusi wa KGB. Leo ngoja tujadili kidogo changamoto za maisha katika jamii tunamoishi.
Eti ndugu zangu wamama na wadada wa JamiiForums Tanzania;
Mkikuta pesa kwenye mashati au suruali za waume zenu wakati wa kufua huwa mnawapa? Na kama hamuwapi ni kwanini?