Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,959
Unakuta kijana mdogo kabisa yaani yeye mkewe badala kumuita jina lake, yaan yeye mda wote "mke wangu hiki mke wangu kile" Huo ni ushamba. Tunajua huyo ni mkeo ila sasa imekua kero, unamtangazia nani? Wote tunajua ni mkeo. Mkiwa ndani itaneni hivyo sio mkitoka nje
Huyu bwana ni mshikaji wangu mmoja hivi ana tabia hii yaani awe wapo popote hata mbele za watu yeye hajali, muwe baa, muwe kanisani, mtaani, kwenye shughuli etc
Mimi hadi nikimuona na mkewe labda tumekutana huwa namkwepa maana wote tunaonekana wakuja.
Sina wivu, zingatia hilo
Huyu bwana ni mshikaji wangu mmoja hivi ana tabia hii yaani awe wapo popote hata mbele za watu yeye hajali, muwe baa, muwe kanisani, mtaani, kwenye shughuli etc
Mimi hadi nikimuona na mkewe labda tumekutana huwa namkwepa maana wote tunaonekana wakuja.
Sina wivu, zingatia hilo