GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,276
- 6,623
Kanishangaza sana huyu Dada wa saluni, nimemtuma
mtoto aniitie tuongee mambo mengine kabisa yeye anarudisha
jibu "Mwambie mi sitaki kuchezewa kabisaaa, kama anataka
aje nimuelekeze waliko wazazi wangu, nimechoka yaani
kila siku kuchezeana tu."
Waungwana kwani kuchezewa kunakuwaje?
Je huyo mtu akienda kwa wazazi wake ina maana
kwamba hatomchezea?
Hebu nipeni ufafanuzi wa huku kuchezea.
mtoto aniitie tuongee mambo mengine kabisa yeye anarudisha
jibu "Mwambie mi sitaki kuchezewa kabisaaa, kama anataka
aje nimuelekeze waliko wazazi wangu, nimechoka yaani
kila siku kuchezeana tu."
Waungwana kwani kuchezewa kunakuwaje?
Je huyo mtu akienda kwa wazazi wake ina maana
kwamba hatomchezea?
Hebu nipeni ufafanuzi wa huku kuchezea.