Tatizo watumishi halmashauri ni wezi...Bora waongozwe na makada wazalendoKuna watu wako kwenye utumishi wa umma muda mrefu na wana uzoefu na wachapa kazi. Pia ni wakuu wa idara waliokuwa wanategemea next step ni kuwa wakurugenzi, leo hii wamewekwa kando na nafasi hiyo inayohitaji elimu ya kutosha na uzoefu anapewa meneja wa Bar. Hivi huyu Magufuli yuko serious au anatengeneza watu wa kuja kumfagilia awe raisi wa kudumu
Ni kweli kiongozi, ndio maana wadogo zetu wa udom waliitwa majina ya ajabu kisa ni form four,lkn bado kuna wengine ni form ffNdio maisha hayo Mkuu ,sio una nini bali unamjua nani
Tusilete mizaha kwenye mamboya msingi.Kuongoza bar ni kazi ngumu kupita kuongoza halmashauri...
Kabisa Kaka Baba mana bar cjaonaga utaratibu wake ila Halmashaur utaratibu upoKuongoza bar ni kazi ngumu kupita kuongoza halmashauri...
Huyu Banda Sonoko sio yule mwandishi wa habari mara nyingi anaalikwa star TV au Mimi ndo nachanganya majina?DED WA KARATU shule hakuna aligombea uraisi kwa tiketi ya ccm anaitwa bwana BANDA KAMWANDE SONOKO hakuwa katika utumishi wa umma maana yake ni nini?magufuli na serikali yake hawana umakini kabisa
tofautisha uenyekiti na DED bhana wewe DED ni nafas ya utendaji na si ya kisiasa so elimu kitu cha muhimu utateteaje DED kuwa certificate holder? usiwe blinded na ushabiki bhana
sio mizaha halmashauri hakuna kazi wanafanya pale zaidi ya kufukuzia posho na seminar...Bar inabidi uwe mbunifu iliupate faida.Tusilete mizaha kwenye mamboya msingi.
Hii bangi ya msumbiji kuna jamaa angu alikuwa anatumia mwisho wake alikuwa kichaa.Kuongoza bar ni kazi ngumu kupita kuongoza halmashauri...
Majukumu ya DED,utayalinganisha na ya mbunge?!!hebu tuwe serious jamani!!Kama kulikuwa na madiwani ambao hawakuweza hata kusoma viapo vyao unashangaa hilo la Hotel Manager kuwa DED? Ukilinganisha na baadhi ya wabunge ambao ni STD 7 leavers huyo ni sawa na Phd holder kwa hiyo certificate yake.
Na usisahau pia kumwachisha chuo mwanao ili aje kuwa mmiliki wa Microsoft.mzee Karume alikuwa darasa la pili na alikuwa Raisi wa Zanzibar.Raisi Jacob Zuma wa AFrika ya kusini aliishia naye darasa la pili sasa hivi raisi nchi kubwa na tajiri na darasa lake hilo la pili.Sembuse hicho cheo cha DED!!
Watumishi wa halmashauri ni wezi bora waongozwe na wanasiasa wazalendoHii bangi ya msumbiji kuna jamaa angu alikuwa anatumia mwisho wake alikuwa kichaa.
Mkafanye kazi muache majungu.Hapo wa kina "Mwafulani" wamekula sana Ugali na Mnafu....pale ndio ilikuwa moja ya "Cetre" ya mikakati ya kukomboa Jimbo la Ubungo la bwana Masaburi
Atakuwa kalipwa fadhila....Mimi jamaa alivyoanza kwa kumteuwa tu "Mwanae" Ukuu wa Wilaya ya Kisarawe,kengere kichwani ikaanza kulia