Kweli kabisa mkuu, maana watalaamu wapo tena waliobobea katika menejimenti ya Umma na wamesoma kwa kodi leo unampa kazi meneja wa Hoteli?Kwa mtindo huu ndio maana wataalamu watatoka Rwanda
Kweli kabisa mkuu, maana watalaamu wapo tena waliobobea katika menejimenti ya Umma na wamesoma kwa kodi leo unampa kazi meneja wa Hoteli?Kwa mtindo huu ndio maana wataalamu watatoka Rwanda
Yaani nasikitika jf umechukua twist na kugeuka juikwaa la propaganda la ukawa. Mods lioneni hiliNasha
nashangaa huu uzushi unasambaa kwa kasi sana kwa wanaomjua na,waliosoma nae wanamjua vizur huyu bwana ikiwezekana mgoogle! Alikuwa anafanya kazi kigoma na ana masters wakuu,ila nashangaa jukwaa hili now limevamiwa limekuwa na watu wanafiki,wazandiki,na tunaochangia pia tumekuwa ivo ivo...hakika hiki ni kizazi cha nyoka
KUHESABU NA KUANDIKA SHIDA AMAMNATAKAWAVUA CHUPI NDIOMUWAPEKAZILuhende Pius Gerald Mkurugenzi wa Halmashauri ya Itigi, ELIMU YAKE NI CERTIFICATE YA HOTEL MANAGEMENT ~Haya nayo Ni mabadiliko.... Na kwa sasa ni manager wa Hotel ya City Style iliyoko Sinza, Mugabe.
Please washauri wa Rais tuweni seriuos. Tupunguzeni ukada. Tanzania inatuhitaji wote...
Ngoja niangalie kwanini cheo cha RDD kilifutwa nitarudi
Magufuli amekujibu hii hoja yako personally kwa vitendo, tupunguze umbea mnashusha credibility ya JF.Luhende Pius Gerald Mkurugenzi wa Halmashauri ya Itigi, ELIMU YAKE NI CERTIFICATE YA HOTEL MANAGEMENT ~Haya nayo Ni mabadiliko.... Na kwa sasa ni manager wa Hotel ya City Style iliyoko Sinza, Mugabe.
Please washauri wa Rais tuweni seriuos. Tupunguzeni ukada. Tanzania inatuhitaji wote...
Magufuli amekujibu hii hoja yako personally kwa vitendo, tupunguze umbea mnashusha credibility ya JF.
Sasa wanahabari wameambiwa wampige picha huyu manager wako wa hotel na yule aliyemteuwa yeye.
Changamoto: Sasa ni ushahidi ulio wazi kwamba Mr President anasoma mijadala ya hapa JF yeye mwenyewe na siyo kusimuliwa na wambea, basi asichoke kusoma mijadala ya hapa itamsaidia kazi sana, na mods tunaomba mada za kipuuzi zote ziwe zinakuw trashed bila kujari itikadi.
Kwanini usipigwe ban kwa habari ya uongoLuhende Pius Gerald Mkurugenzi wa Halmashauri ya Itigi, ELIMU YAKE NI CERTIFICATE YA HOTEL MANAGEMENT ~Haya nayo Ni mabadiliko.... Na kwa sasa ni manager wa Hotel ya City Style iliyoko Sinza, Mugabe.
Please washauri wa Rais tuweni seriuos. Tupunguzeni ukada. Tanzania inatuhitaji wote...
Luhende Pius Gerald Mkurugenzi wa Halmashauri ya Itigi, ELIMU YAKE NI CERTIFICATE YA HOTEL MANAGEMENT ~Haya nayo Ni mabadiliko.... Na kwa sasa ni manager wa Hotel ya City Style iliyoko Sinza, Mugabe.
Please washauri wa Rais tuweni seriuos. Tupunguzeni ukada. Tanzania inatuhitaji wote...
Inasikitisha sana....Magufuli amekujibu hii hoja yako personally kwa vitendo, tupunguze umbea mnashusha credibility ya JF.
Sasa wanahabari wameambiwa wampige picha huyu manager wako wa hotel na yule aliyemteuwa yeye.
Changamoto: Sasa ni ushahidi ulio wazi kwamba Mr President anasoma mijadala ya hapa JF yeye mwenyewe na siyo kusimuliwa na wambea, basi asichoke kusoma mijadala ya hapa itamsaidia kazi sana, na mods tunaomba mada za kipuuzi zote ziwe zinakuw trashed bila kujari itikadi.
Rais Magufuli awajibu waliosema amemteua mfanyakazi wa hoteli kuwa mkurugenzi, asema ana MastersLuhende Pius Gerald Mkurugenzi wa Halmashauri ya Itigi, ELIMU YAKE NI CERTIFICATE YA HOTEL MANAGEMENT ~Haya nayo Ni mabadiliko.... Na kwa sasa ni manager wa Hotel ya City Style iliyoko Sinza, Mugabe.
Please washauri wa Rais tuweni seriuos. Tupunguzeni ukada. Tanzania inatuhitaji wote...
Nakususubiri uje ubandike uongo mwingine hapa. Sijui huwa mnapata faida gani hasa!!!!!!!Luhende Pius Gerald Mkurugenzi wa Halmashauri ya Itigi, ELIMU YAKE NI CERTIFICATE YA HOTEL MANAGEMENT ~Haya nayo Ni mabadiliko.... Na kwa sasa ni manager wa Hotel ya City Style iliyoko Sinza, Mugabe.
Please washauri wa Rais tuweni seriuos. Tupunguzeni ukada. Tanzania inatuhitaji wote...