Kitakachombeba mnyika ni chadema na hii ni kwa sababu watu wameichoka ccm ya makonda.
ukifanyika mdahalo kati ya makonda na mnyika ndio utajua nani matumla na nani myweather.
Kitakachombeba mnyika ni chadema na hii ni kwa sababu watu wameichoka ccm ya makonda.
ukifanyika mdahalo kati ya makonda na mnyika ndio utajua nani matumla na nani myweather.
Kitakachombeba mnyika ni chadema na hii ni kwa sababu watu wameichoka ccm ya makonda.
ukifanyika mdahalo kati ya makonda na mnyika ndio utajua nani matumla na nani myweather.
Kwa wasio mfahamu Makonda ni huyo hapo chini mwenye shati jeupe akijiandaa kumpa ngumi ya uso Mzee Warioba wakati wa mdahalo wa Katiba Ubungo Plaza. Ikumbukwe kuwa Makondo ni kijana mwenye umri wa miaka zaidi kidogo ya 30 na mzee Warioba ana zaidi ya 70 na anaheshimika sio TZ pekee bali sehemu mbalimbali duniani.
View attachment 215085[/Q
acha akaumbuke mwenyewe
asante kwa ushahidi mwanana mkuu .
Mi mluguru wa matombo, tukiwapa mdahalo hawa watu wawili na kuweka ushabiki wenu pembeni....makonda habari nyingine.....Unasema kweli au unatania??Yaani unamlinganisha Makonda na Mnyika??labda wewe sii Mtanzania.
Sio njaa tu mbaya,mbaya zaidi ni mtu kuwa zuzunimecheka almanusura kuchana mbavu ! Njaa mbaya sana .
laana ya MZEE WARIOBA itamtafuna huyu kijana hadi kiama .
CCM kuna viongozi wachapakazi na waaminifu Ila hata cjui Makonda Ana kigezo gani kuwa kiongozi Mkubwa wa UVCCM
>hajui kutetea hoja anayoiongelea
> Ni mpiga kelele zisizo na maslahi
>Hana passion ya uongozi hata kidogo labda uongozi wa familia yake
>Mi ningemshauri atumie taaaluma yake kupata umaarufu na pesa ila sio siasa
> Hana umri mrefu kwenye siasa
NB
CCM ni chama chenye viongozi na wanachama hodari ila cjui kwann mtu kama huyu anakuwa na Say ya malaki ya waadilifu na kuwatia aibu
Alafu weweeafu sio riziki siku hizi anajichubuaa na kalio linazidi tanukaa tu!