MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 331
makonda hafai. anabebwa tuu. hata MuCBc wanajua hilo y
yani unasema tuache unafiki kwa maneno ya kinafikiTukiacha ushabiki wa hii mivyama ya siasa, makonda ana uelewa mkubwa wa mambo tofauti na mnyika
huu ni mtazamo tu.
Ndoto za Makonda kujipa matumaini ya kugombea ubunge jimbo la Ubungo kwa kushindana na Mnyika ni sawa na kibogoyo kutaka avunje mfupa ulio mshinda simba.Kwa hadhi ya Makonda namshauri aombe viti maalum kupitia kwao.
Kunisoma ni kazi as nyuzi zangu hazipo kisihihasa, zina ukweli unaoumiza wafataHujasomeka mkuu, au macho yangu?
Kwa wasio mfahamu Makonda ni huyo hapo chini mwenye shati jeupe akijiandaa kumpa ngumi ya uso Mzee Warioba wakati wa mdahalo wa Katiba Ubungo Plaza. Ikumbukwe kuwa Makondo ni kijana mwenye umri wa miaka zaidi kidogo ya 30 na mzee Warioba ana zaidi ya 70 na anaheshimika sio TZ pekee bali sehemu mbalimbali duniani.
View attachment 215085[/Q
acha akaumbuke mwenyewe
huyo hata waweke jiwe - HAPITIMONdoto za Makonda kujipa matumaini ya kugombea ubunge jimbo la Ubungo kwa kushindana na Mnyika ni sawa na kibogoyo kutaka avunje mfupa ulio mshinda simba.Kwa hadhi ya Makonda namshauri aombe viti maalum kupitia kwao.