Eti Lowassa anajiandaa kusilimu

Kamanda

Senior Member
Dec 5, 2007
150
176
Jamani yamezungumzwa mengi na yataendelea kusambaa mengi kuhusu Lowassa, yule waziri mkuu aliyeamua kuachia ngazi baada ya kukumbwa na kashfa.
Moja kali ambayo nimeipokea tangu asubuhi, lakini sikuweza kuipost kwa kuwa JF haikuwa hewani ni kwamba huyo jamaa anajiandaa kusilimu na kuwa Mwislam na baadaye kutubu makosa yake.
Inasemekana anafanya hivyo baada ya kushauriwa na zaidi sana ili kuimarisha urafiki wake na Jakaya Kikwete.
Sina uhakika na hilo, ingawa lipo linasemwa sana kwa sasa. Yaelezwa kuwa kiongozi mmoja wa Uislam anajiandaa kumpokea na kumpa mafunzo.
Hebu tazama picha yake akiwa na kanzu na balaghashia ambayo sidhani kama imepigwa wakati huu wa habari hiyo.
 
Jamani yamezungumzwa mengi na yataendelea kusambaa mengi kuhusu Lowassa, yule waziri mkuu aliyeamua kuachia ngazi baada ya kukumbwa na kashfa.
Moja kali ambayo nimeipokea tangu asubuhi, lakini sikuweza kuipost kwa kuwa JF haikuwa hewani ni kwamba huyo jamaa anajiandaa kusilimu na kuwa Mwislam na baadaye kutubu makosa yake.
Inasemekana anafanya hivyo baada ya kushauriwa na zaidi sana ili kuimarisha urafiki wake na Jakaya Kikwete.
Sina uhakika na hilo, ingawa lipo linasemwa sana kwa sasa. Yaelezwa kuwa kiongozi mmoja wa Uislam anajiandaa kumpokea na kumpa mafunzo.
Hebu tazama picha yake akiwa na kanzu na balaghashia ambayo sidhani kama imepigwa wakati huu wa habari hiyo.

Mhhhh...

JF imevamiwa!
 
Jamani yamezungumzwa mengi na yataendelea kusambaa mengi kuhusu Lowassa, yule waziri mkuu aliyeamua kuachia ngazi baada ya kukumbwa na kashfa.
Moja kali ambayo nimeipokea tangu asubuhi, lakini sikuweza kuipost kwa kuwa JF haikuwa hewani ni kwamba huyo jamaa anajiandaa kusilimu na kuwa Mwislam na baadaye kutubu makosa yake.
Inasemekana anafanya hivyo baada ya kushauriwa na zaidi sana ili kuimarisha urafiki wake na Jakaya Kikwete.
Sina uhakika na hilo, ingawa lipo linasemwa sana kwa sasa. Yaelezwa kuwa kiongozi mmoja wa Uislam anajiandaa kumpokea na kumpa mafunzo.
Hebu tazama picha yake akiwa na kanzu na balaghashia ambayo sidhani kama imepigwa wakati huu wa habari hiyo.



Unafanya nini Kamanda ? Nami sijaelewa bandiko hili .Peleni kwenye udaku
 
Sasa kama kila kitu tutakachosikia mitaani tutakileta hapa si tutachanginyikiwa? Wakati mwingine FMES alikuwa na hoja kwenye post yake!
 
Jamani yamezungumzwa mengi na yataendelea kusambaa mengi kuhusu Lowassa, yule waziri mkuu aliyeamua kuachia ngazi baada ya kukumbwa na kashfa.
Moja kali ambayo nimeipokea tangu asubuhi, lakini sikuweza kuipost kwa kuwa JF haikuwa hewani ni kwamba huyo jamaa anajiandaa kusilimu na kuwa Mwislam na baadaye kutubu makosa yake.
Inasemekana anafanya hivyo baada ya kushauriwa na zaidi sana ili kuimarisha urafiki wake na Jakaya Kikwete.
Sina uhakika na hilo, ingawa lipo linasemwa sana kwa sasa. Yaelezwa kuwa kiongozi mmoja wa Uislam anajiandaa kumpokea na kumpa mafunzo.
Hebu tazama picha yake akiwa na kanzu na balaghashia ambayo sidhani kama imepigwa wakati huu wa habari hiyo.

Japokuwa EL ni Fisadi lakini ana haki zake za kiraia zikiwemo kuchagua dini, mke na n.k.
 
Jamani yamezungumzwa mengi na yataendelea kusambaa mengi kuhusu Lowassa, yule waziri mkuu aliyeamua kuachia ngazi baada ya kukumbwa na kashfa.

Kamanda unakasi kweli hapa JF, nimekuona umetuma post nyingi kweli zingine zikiwa na Thrilling subheading kama Breakin news etc, ningekushauri kuwa na break...habari kama hivi hatuzihitaji JF maana zinapunguza credibidility ya JF...hujaweka hata source ya hii habari kaka!! usije kuwa unaandika ndoto za alinacha na abunuwasi ukitegemea watu tuchangie..... nyepesi nyepesi !!pole kaka ni mawazo yangu tu haya!
 
Kamanda unakasi kweli hapa JF, nimekuona umetuma post nyingi kweli zingine zikiwa na Thrilling subheading kama Breakin news etc, ningekushauri kuwa na break...habari kama hivi hatuzihitaji JF maana zinapunguza credibidility ya JF...hujaweka hata source ya hii habari kaka!! usije kuwa unaandika ndoto za alinacha na abunuwasi ukitegemea watu tuchangie..... nyepesi nyepesi !!pole kaka ni mawazo yangu tu haya!


Nakubaliana ndugu Mtama huyu ndugu sasa nadhani anakosa la kutueleza lakini he cam do better by watching wengine wanacho kisema si lazima uandike hapa unaweza pia kusoma na hapa heshima yako inakuwa juu .Ukiandika watu wanakuwa na moyo wa kutaka kusoma badala ya haya ya udaku .Mods ondoeni hii bwana .
 
Hii thread nayo imeachwa inapeta tu kwenye 'Jukwaa la Siasa!' Au ma moderators wapo likizo wote?
 
Haiwezi Kuleta Maana Hata Kidogo Kwa Mwanaume Kubadilisha Dini Yake Ili Kumfyrahisha Mwanamme Mwenzake. Unanikumbusha Mambo Ya Uvumi Wa John Kusilimu Apate Uraisi.
Tumaini Geofrey
 
Haiwezi Kuleta Maana Hata Kidogo Kwa Mwanaume Kubadilisha Dini Yake Ili Kumfyrahisha Mwanamme Mwenzake. Unanikumbusha Mambo Ya Uvumi Wa John Kusilimu Apate Uraisi.
Tumaini Geofrey

Tumaini Karibu sana JF...hapa kuna watu makini angalia michango yako, naona hii ni post yako ya kwanza!!

Mwana
 
Hatuwezi Kujadili Mambo Ya Kipumbavu Ambayo Hayana Maslahi Na Jamii, Pls Msituletee Mada Kama Hizi Tena Na Iwe Mwiko!
 
asante major, hata mimi naona ni madai yasiyokuwa na msingi! Ni uvumi wa kijinga.
 
Jamani hizi redio za mbao sasa zinakamata Shortwave, Lowassa kusilimu, sijui, yangu macho tu. Lakini muheshimiwa yule ananiogopesha sana kwa hatua aliyoichukua, eti kaamua tu kuachia ngazi na kurudi nyumbani. Asije akawa ameenda kuunda militia ili aje kuleta tabu baadae. haijawahi kutokea katika historia ya siasa yetu.
Anyway pengine ni uoga wangu tu lakini kama watu wa pwani wasemavyo....Halahala mti na jicho...Subirini comeback yake itakavyokuwa.
 
Jamani yamezungumzwa mengi na yataendelea kusambaa mengi kuhusu Lowassa, yule waziri mkuu aliyeamua kuachia ngazi baada ya kukumbwa na kashfa.
Moja kali ambayo nimeipokea tangu asubuhi, lakini sikuweza kuipost kwa kuwa JF haikuwa hewani ni kwamba huyo jamaa anajiandaa kusilimu na kuwa Mwislam na baadaye kutubu makosa yake.
Inasemekana anafanya hivyo baada ya kushauriwa na zaidi sana ili kuimarisha urafiki wake na Jakaya Kikwete.
Sina uhakika na hilo, ingawa lipo linasemwa sana kwa sasa. Yaelezwa kuwa kiongozi mmoja wa Uislam anajiandaa kumpokea na kumpa mafunzo.
Hebu tazama picha yake akiwa na kanzu na balaghashia ambayo sidhani kama imepigwa wakati huu wa habari hiyo.

Kamanda umbea mwingine tuachie wanaoweza, nimejitahidi kutazama hiyo kanzu na balaghashia sivioni. Ama lazima na mimi nivae hivyo ndipo niweze kuviona vya LOWA-HASA??? LOL!!!!!!!!!
 
Kweli angekuwa muislamu asingefanya aliyoyafanya. Wasilam tunaongoza kwa mema na kutafuta riziki kihalali. Wewe angalia akina mkapa, yona, lowasa, mramba na wengine ni dini gani? Alafu muone kikwete ni dini gani. Anafanya jambo sahihi inastahili apongezwe
 
Kweli angekuwa muislamu asingefanya aliyoyafanya. Wasilam tunaongoza kwa mema na kutafuta riziki kihalali. Wewe angalia akina mkapa, yona, lowasa, mramba na wengine ni dini gani? Alafu muone kikwete ni dini gani. Anafanya jambo sahihi inastahili apongezwe

Halafu pia Kighoma Malima, Ibrahim Msabaha.

Mtumwa wa Molla huyu LOWA-HASA bado hajasilimu, ila anataka kufanya hivyo kwa lengo la kujisogeza karibu na JK kadiri nilivyomuelewa mtoa hoja wa kwanza.

Pia ningependa kukuhakikishia kwamba wizi au ufisadi hauna dini bali ni game of chance. Ukisema Uislamu hauelekezi mtu kutenda mabaya nitakuamini kwani hakuna inayoelekeza waumini wake wake watende dhambi lakini ukitumia majina ya watu na kusema hao ni waislamu just kwa sababu ya jina, nitakupinga kwani kuna maovu mengi sana mtu mwenye jina la Ally akilitenda huja hoja ya huyu si Muislamu. Mfano halisi ni vibaka wengi jijini Dar wengi wana majina kama Mohamed, Ally, Hussein, Jafar, Bakari nk. Je vibaka wote tuseme huo ndiyo Uislamu? LA HASHA. Magaidi wote wana majina ya Mohamed, Ally, Hussein, Jafar, Bakari BILA KUMSAHAU BOSS WAO OSAMA je turudi huko tukijua UISLAM NI UGAIDI. FUTA KAULI ZAKO.
Kwa kifupi nataka kukueleza kwamba hakuna dini inayofundisha waumini wake watende maovu, usilete udini hapa. Watu wameenda kinyume na mafundisho ya Mwenyezi Mungu na ndiyo maana pamekuwa na UGAIDI, VIBAKA, na hao wezi ndani ya serikali.
 
Halafu pia Kighoma Malima, Ibrahim Msabaha.

Mtumwa wa Molla huyu LOWA-HASA bado hajasilimu, ila anataka kufanya hivyo kwa lengo la kujisogeza karibu na JK kadiri nilivyomuelewa mtoa hoja wa kwanza.

Pia ningependa kukuhakikishia kwamba wizi au ufisadi hauna dini bali ni game of chance. Ukisema Uislamu hauelekezi mtu kutenda mabaya nitakuamini kwani hakuna inayoelekeza waumini wake wake watende dhambi lakini ukitumia majina ya watu na kusema hao ni waislamu just kwa sababu ya jina, nitakupinga kwani kuna maovu mengi sana mtu mwenye jina la Ally akilitenda huja hoja ya huyu si Muislamu. Mfano halisi ni vibaka wengi jijini Dar wengi wana majina kama Mohamed, Ally, Hussein, Jafar, Bakari nk. Je vibaka wote tuseme huo ndiyo Uislamu? LA HASHA. Magaidi wote wana majina ya Mohamed, Ally, Hussein, Jafar, Bakari BILA KUMSAHAU BOSS WAO OSAMA je turudi huko tukijua UISLAM NI UGAIDI. FUTA KAULI ZAKO.
Kwa kifupi nataka kukueleza kwamba hakuna dini inayofundisha waumini wake watende maovu, usilete udini hapa. Watu wameenda kinyume na mafundisho ya Mwenyezi Mungu na ndiyo maana pamekuwa na UGAIDI, VIBAKA, na hao wezi ndani ya serikali.


Asante kwa Elewesho Babu Msemaovyo.
 
Jamani yamezungumzwa mengi na yataendelea kusambaa mengi kuhusu Lowassa, yule waziri mkuu aliyeamua kuachia ngazi baada ya kukumbwa na kashfa.
Moja kali ambayo nimeipokea tangu asubuhi, lakini sikuweza kuipost kwa kuwa JF haikuwa hewani ni kwamba huyo jamaa anajiandaa kusilimu na kuwa Mwislam na baadaye kutubu makosa yake.
Inasemekana anafanya hivyo baada ya kushauriwa na zaidi sana ili kuimarisha urafiki wake na Jakaya Kikwete.
Sina uhakika na hilo, ingawa lipo linasemwa sana kwa sasa. Yaelezwa kuwa kiongozi mmoja wa Uislam anajiandaa kumpokea na kumpa mafunzo.
Hebu tazama picha yake akiwa na kanzu na balaghashia ambayo sidhani kama imepigwa wakati huu wa habari hiyo.

Itakuwa vizuri iwapo atatumia njia hiyo kujisafisha na sikujivika ngozi ya kondoo ilhali yeye ni chui!!!!!
 
Kamanda mbona haueleweki? Huyu aliyekuambia habario hizi ni nani? kisha si vema kusema kwa kudhani tu, fikiri sana kabla haujasema kwani JF watashindwa kuchangia threaad zako kwa siku za usoni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom