Haa haa haaaaaa...... Wewe ni shetani mguu mmoja 🤣🤣🤣Kisamvu Cha kopo unaijua?
Duuhhh watu balaa sana
Yule aliyepatikana baada ya kondom kupasuka?Hata diamond ni Simba vilevile!
Haha niliisikia tokea zamani sana hio kuna jamaa alikua anauliza binti "vipi leo wekundu wa msimbazi wanapasha"
😂😂😂Na Yanga ikicheza inasemwaje, mtu anajisaidia haja kubwa???!!
Haja kubwa ni rangi ya njano 🤣
Eeee, Si nyie ndio mmeanza kashfa!!.