Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Leo nimepita mitaa fulani ya Ilala nikiwa kwenye pilikapilika za kutafuta vipuri vya magari. Nimesikia vijana wakipiga stori iliyonivutia kidogo. Actually, walikuwa wanafundishana kwamba kama binti anakuzungusha muda mrefu mwambie una mpango wa kumwoa. Eti hiyo ndiyo gia kubwa inayowalainisha mabinti wengi na hatimaye kutoa 'mlo kamili' bila malipo kwa wanaume husika. Jamani hao vijana wanaongea ukweli au ni porojo tu za vijiweni?