Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,865
- 3,800
Kashindwa amebaki anaweweseka tu. Haelewi afanye nini tena. Amebaki kuwalaumu wachezaji eti hawana malengo.
Muda unaenda siku zinapita na ameshindwa kabisa kuitengeneza timu. Leo Yanga wanamtihani mzito mbele ya waarabu, bila lamli wala unabii au upajo wa maji na mafuta Yanga wanakaa mapemaaaa!
Ndo ukwelii
Muda unaenda siku zinapita na ameshindwa kabisa kuitengeneza timu. Leo Yanga wanamtihani mzito mbele ya waarabu, bila lamli wala unabii au upajo wa maji na mafuta Yanga wanakaa mapemaaaa!
Ndo ukwelii