Sawa, kumbe MBU awez kuishi kwenye barid kali, iringa,njombe,mafinga,arumeru,Kilimanjaro, ni bahadhi ya maeneo ambayo hakuna MBU, kwa iyo umesimama upande gani? kwamba ni kweli kuna maeneo apa duniani hakuna MBU hususani uko ULAYA & AMERICA?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee wa ivilikinge pale mitaa gani mkuu?Kindoki nenda kule kwetu Ivilikinge makete maisha yangu yote nilikua sijawai kumuona mbu, hadi nilivyo safiri mikoa yenye joto
Ndo maana huko kwetu huwezi kusikia ugonjwa wa malaria
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna ukweli!!Sawa, kumbe MBU awez kuishi kwenye barid kali, iringa,njombe,mafinga,arumeru,Kilimanjaro, ni bahadhi ya maeneo ambayo hakuna MBU, kwa iyo umesimama upande gani? kwamba ni kweli kuna maeneo apa duniani hakuna MBU hususani uko ULAYA & AMERICA?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah aise kumbe jf pana sana mpaka ivilikinge nimekusikia hum jamanii
Wadau nilikuwa nabishana na jamaa flan et kuna nchi ULAYA na AMERCA ambazo hakuna mbu kabisa, tumebishana sana nikaona nilete ubishi huo umu jamvini ili tusaidiane kupeana faida
Sent using Jamii Forums mobile app