mimi sjawai
cz sjawai pendwa wala sjawai penda.
nawasilisha hoja :bange:
Dah, hi kozi mi imenishinda hadi leo. Hata nikijaribu naona nashindwa tu. Sijui nimejeruhika mwenzenu.
Si ndo mapenzi yanaumiza hadi leo? Kila nkijaribu nayaona mabaya tu. Yani naona maumivu tu....sasa jibu la swali hapo juu unasema je? kama unalala mika vile
Mimi hapa sijawahi....
mimi sjawai
cz sjawai pendwa wala sjawai penda.
nawasilisha hoja :bange:
Nilijua tu!Mimi hapa sijawahi....
Wahida unaelewa maana ya jina lako? Nafikiri hilo ni suluhisho kama hutaki maumivu.jamani ukweli ni maisha ni mapenzi, na mapenzi ni maisha,huwezi kua normal human kama hujaingia hapa. lakin kila kitu kina furaha yake na matatizo. if ww umekua always happy uko lucky sana ,, na huwezi kusoma kama huja pata mitihani katika hii dunia,
Ulijua kitu gani??Nilijua tu!
Ukweli ndo huo....kwa hile score ya love , lust and likeebu sema ukweli bana
Wahida umeongea kwa feelings... pole mwaya nahisi kama umepatwa karibunii....
Kuwa hujawahi!Ulijua kitu gani??
amepatwa??????
nahisi kama ulitaka kusema amenanihiwa karibuni lol