Sijawahi kusikia maajabu kama haya yanayotokea tanzania, kuna balozi alikutwa na shahada za kupigia kura zaidi ya arobani alafu mimtu iliyopewa dhamana inasema sio kosa!nakumbuka mwaka jana kuna mtu alikutwa na tiketi za mpira 10 kati ya brazil na taifa stars, jamaa alibebwa kama mbwa na kosomezwa rumande kwa kosa hilo, leo almost the same thing but different place inasemekana sio kosa, je balozi ni custodian wa wana igunga??au mnadhani hatujui ukweli!