Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 216
................
Yule mama: wanafundisha hivyo kwa sababu ndivyo ilivyo…….tena wanaume mna nafuu, mnateseka kipindi kifupi tu wakati wa kutafuta, lakini mkipata mnarelax kufurahia mapenzi……… lakni wanawake wakishakmkubali mwanaume, inageka zamu yao ya kuteseka, yaani wanateseka hadi kifo ndio kinawaokoa………. Hivyo utaona wanawake wanateseka muda mrefu zaidi!
..............
haya endelea kisha toa maoni yako, ukitaka kuenjoy zaidi anzia chini kabisa kuja juu............, J2 njema
Haya mazungumzo nilifanya na mama mmoja mtu mzima mwaka 2002 nilipoanza tu kazi baada ya kumaliza chuo, enjoy and finally discuss openly;
Yule mama: hongera mwanang kwa kupata kazi nzuri, sasa bila kupoteza muda anza kujiandaa kimaisha na ni vizuri ukaanza kuafuta na mchmba, uoe utulie
Mimi: Asante mama, lakini hayo ya kutafuta wachumba kwa sasa nataka nipumzike kwanza
Yule mama: hapana mwanangu, ujana una vishawishi vingi, fikiria kuoa mapema utulie, usiwe kama vijana wenzako
Mimi: hata mimi napenda kuoa lakini wasichana wanawatesa sana wavulana hasa wasio na pesa, ndio maana sitaki kuteseka tena kwa sasa. Bado namkumbuka yule msambaa…, yule mchaga, yule mkurya, yule mhaya, yule mhehe…… aaah mama, walinitesa sana na baadaye wakanikataa, wakachagua wengine. nataka nitulie angalau kwa miaka mitano kwanza labda nitawaamini tena wasichana
Yule mama: hahaha……. usinichekeshe, hakuna mateso pale ndiyo maisha yenyewe mwanangu, unapaswa kuvumilia hadi umpate wako halafu hutateseka tena hadi kifo kinawatenganishe, believe me my son …………………
Mimi: siku zote tunaambiwa hivo, hata kanisani mchungaji anatufundisha hivyo………
Yule mama: wanafundisha hivyo kwa sababu ndivyo ilivyo…….tena wanaume mna nafuu, mnateseka kipindi kifupi tu wakati wa kutafuta, lakini mkipata mnarelax kufurahia mapenzi……… lakni wanawake wakishakmkubali mwanaume, inageka zamu yao ya kuteseka, yaani wanateseka hadi kifo ndio kinawaokoa………. Hivyo utaona wanawake wanateseka muda mrefu zaidi!
Mimi: siamini mama, mbona tunaona wanawake wakifurahia sana maisha baada ya kupata wapenzi, wanaendesa magari amzuri ya waume zao, wanasaidiwa matatizo yao yote, wanaongezewa heshima hata kama mlikua rika moja anpata heshima kubwa kukuzidi………mbona sioni mateso pale?
Yule mama: hahahah……. yapo mwanangu, tena makubwa tu…… na wengi huwa hawapati uisingizi… wanalia na kuomba usiku kucha, ……….wengi wana hofu siku zote za maisha yao…. Wengine wanalazimishwa kusamehe hata kwa makosa ya wazi ya waume zao….. wengine wanaachiwa kulea watoto peke yao mume anahangaika na wanawake wengine ……………. Mwanagu ukioa tafadhari usimtese mkeo hivyo………..Mungu alipanga ndoa ziwe mahali pazuri pa wote kufurahia
Mimi: sawa mama, nashukuru sana, nakuahidi nikioa sitafanya hayo wanyofanya wanaume wengine…... usiache kuniombea kwa Mungu…………. Samahani, hivi na wewe baba anakutesa?
Yule mama: hahahah………..mwanag umenikumbusha mbali sana…….siku hizi amepunguza, lakini tulipokuwa vijana alinitesa sana.
Mimi: au ulikuwa na wivu sana na siku hizi umepunguza?...... nasikia umri ukiwa mkubwa wivu unapungua! Ni kweli?
Yule mama: heheheeee, hilo swali nitakujibu siku nitakapowakaribisha nyumbani kwangu wewe na mchumba wako, na siku hiyo atakuwepo pia mume wangu naye anisaidie kujibu swali hili………………….
Bottom-line
This thread is dedicated to my love hapa JF: anajijua
My take kwa mpenzi wangu
tafadhari nijibu mapema tupange safari ya kumtembelea huyu mama, Mungu kawajaalia yeye na mumewe maisha marefu kwa ajili ya kutuombea sisi, wanatusubiri tangu mwaka 2002…… please my dear, mi ni kijana nitavumilia mateso ya kusubiri, naomba basi mhurumie hata huyu mama, yeye ni mzee na bado anavumilia, anavumilia mateso yake na mumewe na haya ya kutusubiri sisi watujibu swali lile!! tumpunguzie basi mama yetu japo haya mateso ya kutusubiri!!!!!!!!!
My take kwa wana JF
Tafadhari tujadili hili suala la mateso, ni kweli yapo mengi na ya muda mrefu zaidi kwa mwanamke kuliko mwanume?
Magwiji wa mapenzi tupeni experience zenu …………..
Yule mama: wanafundisha hivyo kwa sababu ndivyo ilivyo…….tena wanaume mna nafuu, mnateseka kipindi kifupi tu wakati wa kutafuta, lakini mkipata mnarelax kufurahia mapenzi……… lakni wanawake wakishakmkubali mwanaume, inageka zamu yao ya kuteseka, yaani wanateseka hadi kifo ndio kinawaokoa………. Hivyo utaona wanawake wanateseka muda mrefu zaidi!
..............
haya endelea kisha toa maoni yako, ukitaka kuenjoy zaidi anzia chini kabisa kuja juu............, J2 njema
Haya mazungumzo nilifanya na mama mmoja mtu mzima mwaka 2002 nilipoanza tu kazi baada ya kumaliza chuo, enjoy and finally discuss openly;
Yule mama: hongera mwanang kwa kupata kazi nzuri, sasa bila kupoteza muda anza kujiandaa kimaisha na ni vizuri ukaanza kuafuta na mchmba, uoe utulie
Mimi: Asante mama, lakini hayo ya kutafuta wachumba kwa sasa nataka nipumzike kwanza
Yule mama: hapana mwanangu, ujana una vishawishi vingi, fikiria kuoa mapema utulie, usiwe kama vijana wenzako
Mimi: hata mimi napenda kuoa lakini wasichana wanawatesa sana wavulana hasa wasio na pesa, ndio maana sitaki kuteseka tena kwa sasa. Bado namkumbuka yule msambaa…, yule mchaga, yule mkurya, yule mhaya, yule mhehe…… aaah mama, walinitesa sana na baadaye wakanikataa, wakachagua wengine. nataka nitulie angalau kwa miaka mitano kwanza labda nitawaamini tena wasichana
Yule mama: hahaha……. usinichekeshe, hakuna mateso pale ndiyo maisha yenyewe mwanangu, unapaswa kuvumilia hadi umpate wako halafu hutateseka tena hadi kifo kinawatenganishe, believe me my son …………………
Mimi: siku zote tunaambiwa hivo, hata kanisani mchungaji anatufundisha hivyo………
Yule mama: wanafundisha hivyo kwa sababu ndivyo ilivyo…….tena wanaume mna nafuu, mnateseka kipindi kifupi tu wakati wa kutafuta, lakini mkipata mnarelax kufurahia mapenzi……… lakni wanawake wakishakmkubali mwanaume, inageka zamu yao ya kuteseka, yaani wanateseka hadi kifo ndio kinawaokoa………. Hivyo utaona wanawake wanateseka muda mrefu zaidi!
Mimi: siamini mama, mbona tunaona wanawake wakifurahia sana maisha baada ya kupata wapenzi, wanaendesa magari amzuri ya waume zao, wanasaidiwa matatizo yao yote, wanaongezewa heshima hata kama mlikua rika moja anpata heshima kubwa kukuzidi………mbona sioni mateso pale?
Yule mama: hahahah……. yapo mwanangu, tena makubwa tu…… na wengi huwa hawapati uisingizi… wanalia na kuomba usiku kucha, ……….wengi wana hofu siku zote za maisha yao…. Wengine wanalazimishwa kusamehe hata kwa makosa ya wazi ya waume zao….. wengine wanaachiwa kulea watoto peke yao mume anahangaika na wanawake wengine ……………. Mwanagu ukioa tafadhari usimtese mkeo hivyo………..Mungu alipanga ndoa ziwe mahali pazuri pa wote kufurahia
Mimi: sawa mama, nashukuru sana, nakuahidi nikioa sitafanya hayo wanyofanya wanaume wengine…... usiache kuniombea kwa Mungu…………. Samahani, hivi na wewe baba anakutesa?
Yule mama: hahahah………..mwanag umenikumbusha mbali sana…….siku hizi amepunguza, lakini tulipokuwa vijana alinitesa sana.
Mimi: au ulikuwa na wivu sana na siku hizi umepunguza?...... nasikia umri ukiwa mkubwa wivu unapungua! Ni kweli?
Yule mama: heheheeee, hilo swali nitakujibu siku nitakapowakaribisha nyumbani kwangu wewe na mchumba wako, na siku hiyo atakuwepo pia mume wangu naye anisaidie kujibu swali hili………………….
Bottom-line
This thread is dedicated to my love hapa JF: anajijua
My take kwa mpenzi wangu
tafadhari nijibu mapema tupange safari ya kumtembelea huyu mama, Mungu kawajaalia yeye na mumewe maisha marefu kwa ajili ya kutuombea sisi, wanatusubiri tangu mwaka 2002…… please my dear, mi ni kijana nitavumilia mateso ya kusubiri, naomba basi mhurumie hata huyu mama, yeye ni mzee na bado anavumilia, anavumilia mateso yake na mumewe na haya ya kutusubiri sisi watujibu swali lile!! tumpunguzie basi mama yetu japo haya mateso ya kutusubiri!!!!!!!!!
My take kwa wana JF
Tafadhari tujadili hili suala la mateso, ni kweli yapo mengi na ya muda mrefu zaidi kwa mwanamke kuliko mwanume?
Magwiji wa mapenzi tupeni experience zenu …………..