Eti kati ya wanaume na wanawake akina nani wanateseka zaidi??

Akili Kichwani

JF-Expert Member
Jan 7, 2010
1,508
216
................
Yule mama: wanafundisha hivyo kwa sababu ndivyo ilivyo…….tena wanaume mna nafuu, mnateseka kipindi kifupi tu wakati wa kutafuta, lakini mkipata mnarelax kufurahia mapenzi……… lakni wanawake wakishakmkubali mwanaume, inageka zamu yao ya kuteseka, yaani wanateseka hadi kifo ndio kinawaokoa………. Hivyo utaona wanawake wanateseka muda mrefu zaidi!
..............

haya endelea kisha toa maoni yako, ukitaka kuenjoy zaidi anzia chini kabisa kuja juu............, J2 njema

Haya mazungumzo nilifanya na mama mmoja mtu mzima mwaka 2002 nilipoanza tu kazi baada ya kumaliza chuo, enjoy and finally discuss openly;

Yule mama: hongera mwanang kwa kupata kazi nzuri, sasa bila kupoteza muda anza kujiandaa kimaisha na ni vizuri ukaanza kuafuta na mchmba, uoe utulie

Mimi: Asante mama, lakini hayo ya kutafuta wachumba kwa sasa nataka nipumzike kwanza

Yule mama: hapana mwanangu, ujana una vishawishi vingi, fikiria kuoa mapema utulie, usiwe kama vijana wenzako

Mimi: hata mimi napenda kuoa lakini wasichana wanawatesa sana wavulana hasa wasio na pesa, ndio maana sitaki kuteseka tena kwa sasa. Bado namkumbuka yule msambaa…, yule mchaga, yule mkurya, yule mhaya, yule mhehe…… aaah mama, walinitesa sana na baadaye wakanikataa, wakachagua wengine. nataka nitulie angalau kwa miaka mitano kwanza labda nitawaamini tena wasichana

Yule mama: hahaha……. usinichekeshe, hakuna mateso pale ndiyo maisha yenyewe mwanangu, unapaswa kuvumilia hadi umpate wako halafu hutateseka tena hadi kifo kinawatenganishe, believe me my son …………………

Mimi: siku zote tunaambiwa hivo, hata kanisani mchungaji anatufundisha hivyo………

Yule mama: wanafundisha hivyo kwa sababu ndivyo ilivyo…….tena wanaume mna nafuu, mnateseka kipindi kifupi tu wakati wa kutafuta, lakini mkipata mnarelax kufurahia mapenzi……… lakni wanawake wakishakmkubali mwanaume, inageka zamu yao ya kuteseka, yaani wanateseka hadi kifo ndio kinawaokoa………. Hivyo utaona wanawake wanateseka muda mrefu zaidi!

Mimi: siamini mama, mbona tunaona wanawake wakifurahia sana maisha baada ya kupata wapenzi, wanaendesa magari amzuri ya waume zao, wanasaidiwa matatizo yao yote, wanaongezewa heshima hata kama mlikua rika moja anpata heshima kubwa kukuzidi………mbona sioni mateso pale?

Yule mama: hahahah……. yapo mwanangu, tena makubwa tu…… na wengi huwa hawapati uisingizi… wanalia na kuomba usiku kucha, ……….wengi wana hofu siku zote za maisha yao…. Wengine wanalazimishwa kusamehe hata kwa makosa ya wazi ya waume zao….. wengine wanaachiwa kulea watoto peke yao mume anahangaika na wanawake wengine ……………. Mwanagu ukioa tafadhari usimtese mkeo hivyo………..Mungu alipanga ndoa ziwe mahali pazuri pa wote kufurahia

Mimi: sawa mama, nashukuru sana, nakuahidi nikioa sitafanya hayo wanyofanya wanaume wengine…... usiache kuniombea kwa Mungu…………. Samahani, hivi na wewe baba anakutesa?

Yule mama: hahahah………..mwanag umenikumbusha mbali sana…….siku hizi amepunguza, lakini tulipokuwa vijana alinitesa sana.

Mimi: au ulikuwa na wivu sana na siku hizi umepunguza?...... nasikia umri ukiwa mkubwa wivu unapungua! Ni kweli?

Yule mama: heheheeee, hilo swali nitakujibu siku nitakapowakaribisha nyumbani kwangu wewe na mchumba wako, na siku hiyo atakuwepo pia mume wangu naye anisaidie kujibu swali hili………………….
Bottom-line
This thread is dedicated to my love hapa JF: anajijua
My take kwa mpenzi wangu
tafadhari nijibu mapema tupange safari ya kumtembelea huyu mama, Mungu kawajaalia yeye na mumewe maisha marefu kwa ajili ya kutuombea sisi, wanatusubiri tangu mwaka 2002…… please my dear, mi ni kijana nitavumilia mateso ya kusubiri, naomba basi mhurumie hata huyu mama, yeye ni mzee na bado anavumilia, anavumilia mateso yake na mumewe na haya ya kutusubiri sisi watujibu swali lile!! tumpunguzie basi mama yetu japo haya mateso ya kutusubiri!!!!!!!!!
My take kwa wana JF
Tafadhari tujadili hili suala la mateso, ni kweli yapo mengi na ya muda mrefu zaidi kwa mwanamke kuliko mwanume?

Magwiji wa mapenzi tupeni experience zenu …………..
 
Haya mazungumzo nilifanya na mama mmoja mtu mzima mwaka 2002 nilipoanza tu kazi baada ya kumaliza chuo, enjoy and finally discuss openly;
Yule mama: hongera mwanang kwa kupata kazi nzuri, sasa bila kupoteza muda anza kujiandaa kimaisha na ni vizuri ukaanza kuafuta na mchmba, uoe utulie

Mimi: Asante mama, lakini hayo ya kutafuta wachumba kwa sasa nataka nipumzike kwanza

Yule mama: hapana mwanangu, ujana una vishawishi vingi, fikiria kuoa mapema utulie, usiwe kama vijana wenzako

Mimi: hata mimi napenda kuoa lakini wasichana wanawatesa sana wavulana hasa wasio na pesa, ndio maana sitaki kuteseka tena kwa sasa. Bado namkumbuka yule msambaa…, yule mchaga, yule mkurya, yule mhaya, yule mhehe…… aaah mama, walinitesa sana na baadaye wakanikataa, wakachagua wengine. nataka nitulie angalau kwa miaka mitano kwanza labda nitawaamini tena wasichana

Yule mama: hahaha……. usinichekeshe, hakuna mateso pale ndiyo maisha yenyewe mwanangu, unapaswa kuvumilia hadi umpate wako halafu hutateseka tena hadi kifo kinawatenganishe, believe me my son …………………

Mimi: siku zote tunaambiwa hivo, hata kanisani mchungaji anatufundisha hivyo………

Yule mama: wanafundisha hivyo kwa sababu ndivyo ilivyo…….tena wanaume mna nafuu, mnateseka kipindi kifupi tu wakati wa kutafuta, lakini mkipata mnarelax kufurahia mapenzi……… lakni wanawake wakishakmkubali mwanaume, inageka zamu yao ya kuteseka, yaani wanateseka hadi kifo ndio kinawaokoa………. Hivyo utaona wanawake wanateseka muda mrefu zaidi!

Mimi: siamini mama, mbona tunaona wanawake wakifurahia sana maisha baada ya kupata wapenzi, wanaendesa magari amzuri ya waume zao, wanasaidiwa matatizo yao yote, wanaongezewa heshima hata kama mlikua rika moja anpata heshima kubwa kukuzidi………mbona sioni mateso pale?

Yule mama: hahahah……. yapo mwanangu, tena makubwa tu…… na wengi huwa hawapati uisingizi… wanalia na kuomba usiku kucha, ……….wengi wana hofu siku zote za maisha yao…. Wengine wanalazimishwa kusamehe hata kwa makosa ya wazi ya waume zao….. wengine wanaachiwa kulea watoto peke yao mume anahangaika na wanawake wengine ……………. Mwanagu ukioa tafadhari usimtese mkeo hivyo………..Mungu alipanga ndoa ziwe mahali pazuri pa wote kufurahia

Mimi: sawa mama, nashukuru sana, nakuahidi nikioa sitafanya hayo wanyofanya wanaume wengine…... usiache kuniombea kwa Mungu…………. Samahani, hivi na wewe baba anakutesa?

Yule mama: hahahah………..mwanag umenikumbusha mbali sana…….siku hizi amepunguza, lakini tulipokuwa vijana alinitesa sana.

Mimi: au ulikuwa na wivu sana na siku hizi umepunguza?...... nasikia umri ukiwa mkubwa wivu unapungua! Ni kweli?

Yule mama: heheheeee, hilo swali nitakujibu siku nitakapowakaribisha nyumbani kwangu wewe na mchumba wako, na siku hiyo atakuwepo pia mume wangu naye anisaidie kujibu swali hili………………….
Bottom-line
This thread is dedicated to my love hapa JF: anajijua
My take kwa mpenzi wangu
tafadhari nijibu mapema tupange safari ya kumtembelea huyu mama, Mungu kawajaalia yeye na mumewe maisha marefu kwa ajili ya kutuombea sisi, wanatusubiri tangu mwaka 2002…… please my dear, mi ni kijana nitavumilia mateso ya kusubiri, naomba basi mhurumie hata huyu mama, yeye ni mzee na bado anavumilia, anavumilia mateso yake na mumewe na haya ya kutusubiri sisi watujibu swali lile!! tumpunguzie basi mama yetu japo haya mateso ya kutusubiri!!!!!!!!!
My take kwa wana JF
Tafadhari tujadili hili suala la mateso, ni kweli yapo mengi na ya muda mrefu zaidi kwa mwanamke kuliko mwanume?

Magwiji wa mapenzi tupeni experience zenu …………..


mmmhhhh

mazungumzo ya kusisimua sana.

bora umtaje huyo mpenzi wako kuna watu watakusaidia kumbembeleza mkajitambulishe kwenu,

all the best
 
anajijua huyo mupenzi cdhani km anahitaji kubembelezwa tena!!

haya nendeni mkapewe somo!
 
mmmhhhh

mazungumzo ya kusisimua sana.

bora umtaje huyo mpenzi wako kuna watu watakusaidia kumbembeleza mkajitambulishe kwenu,

all the best

asante mkuu, we tupe tu ushauri wako, huko aliko atasoma na ataheshimu mawazo yako mheshimiwa.

vipi, uliaga hapa kuwa unaenda jimboni, kampeni inaendeleaje? umesikia jinamizi la CCJ, we uko upande gani?

all the best
 
kama wanawake ndo wanateseka zaidi kuliko wanaume, why in the hell do men die earlier?

it is mateso that kills thems! yes i have said it
 
kama wanawake ndo wanateseka zaidi kuliko wanaume, why in the hell do men die earlier?

it is mateso that kills thems! yes i have said it

ule ni mtazamo wa yule mama. we umekuja kivingine kabisa, can you explain briefly?

unasema in the hell wanaume wanakufa mapema zaidi, can you prove it with reference? any source 4 this please?
 
................
Yule mama: wanafundisha hivyo kwa sababu ndivyo ilivyo…….tena wanaume mna nafuu, mnateseka kipindi kifupi tu wakati wa kutafuta, lakini mkipata mnarelax kufurahia mapenzi……… lakni wanawake wakishakmkubali mwanaume, inageka zamu yao ya kuteseka, yaani wanateseka hadi kifo ndio kinawaokoa………. Hivyo utaona wanawake wanateseka muda mrefu zaidi!
..............

haya endelea kisha toa maoni yako, ukitaka kuenjoy zaidi anzia chini kabisa kuja juu............, J2 njema

Haya mazungumzo nilifanya na mama mmoja mtu mzima mwaka 2002 nilipoanza tu kazi baada ya kumaliza chuo, enjoy and finally discuss openly;

Yule mama: hongera mwanang kwa kupata kazi nzuri, sasa bila kupoteza muda anza kujiandaa kimaisha na ni vizuri ukaanza kuafuta na mchmba, uoe utulie

Mimi: Asante mama, lakini hayo ya kutafuta wachumba kwa sasa nataka nipumzike kwanza

Yule mama: hapana mwanangu, ujana una vishawishi vingi, fikiria kuoa mapema utulie, usiwe kama vijana wenzako

Mimi: hata mimi napenda kuoa lakini wasichana wanawatesa sana wavulana hasa wasio na pesa, ndio maana sitaki kuteseka tena kwa sasa. Bado namkumbuka yule msambaa…, yule mchaga, yule mkurya, yule mhaya, yule mhehe…… aaah mama, walinitesa sana na baadaye wakanikataa, wakachagua wengine. nataka nitulie angalau kwa miaka mitano kwanza labda nitawaamini tena wasichana

Yule mama: hahaha……. usinichekeshe, hakuna mateso pale ndiyo maisha yenyewe mwanangu, unapaswa kuvumilia hadi umpate wako halafu hutateseka tena hadi kifo kinawatenganishe, believe me my son …………………

Mimi: siku zote tunaambiwa hivo, hata kanisani mchungaji anatufundisha hivyo………

Yule mama: wanafundisha hivyo kwa sababu ndivyo ilivyo…….tena wanaume mna nafuu, mnateseka kipindi kifupi tu wakati wa kutafuta, lakini mkipata mnarelax kufurahia mapenzi……… lakni wanawake wakishakmkubali mwanaume, inageka zamu yao ya kuteseka, yaani wanateseka hadi kifo ndio kinawaokoa………. Hivyo utaona wanawake wanateseka muda mrefu zaidi!

Mimi: siamini mama, mbona tunaona wanawake wakifurahia sana maisha baada ya kupata wapenzi, wanaendesa magari amzuri ya waume zao, wanasaidiwa matatizo yao yote, wanaongezewa heshima hata kama mlikua rika moja anpata heshima kubwa kukuzidi………mbona sioni mateso pale?

Yule mama: hahahah……. yapo mwanangu, tena makubwa tu…… na wengi huwa hawapati uisingizi… wanalia na kuomba usiku kucha, ……….wengi wana hofu siku zote za maisha yao…. Wengine wanalazimishwa kusamehe hata kwa makosa ya wazi ya waume zao….. wengine wanaachiwa kulea watoto peke yao mume anahangaika na wanawake wengine ……………. Mwanagu ukioa tafadhari usimtese mkeo hivyo………..Mungu alipanga ndoa ziwe mahali pazuri pa wote kufurahia

Mimi: sawa mama, nashukuru sana, nakuahidi nikioa sitafanya hayo wanyofanya wanaume wengine…... usiache kuniombea kwa Mungu…………. Samahani, hivi na wewe baba anakutesa?

Yule mama: hahahah………..mwanag umenikumbusha mbali sana…….siku hizi amepunguza, lakini tulipokuwa vijana alinitesa sana.

Mimi: au ulikuwa na wivu sana na siku hizi umepunguza?...... nasikia umri ukiwa mkubwa wivu unapungua! Ni kweli?

Yule mama: heheheeee, hilo swali nitakujibu siku nitakapowakaribisha nyumbani kwangu wewe na mchumba wako, na siku hiyo atakuwepo pia mume wangu naye anisaidie kujibu swali hili………………….
Bottom-line
This thread is dedicated to my love hapa JF: anajijua
My take kwa mpenzi wangu
tafadhari nijibu mapema tupange safari ya kumtembelea huyu mama, Mungu kawajaalia yeye na mumewe maisha marefu kwa ajili ya kutuombea sisi, wanatusubiri tangu mwaka 2002…… please my dear, mi ni kijana nitavumilia mateso ya kusubiri, naomba basi mhurumie hata huyu mama, yeye ni mzee na bado anavumilia, anavumilia mateso yake na mumewe na haya ya kutusubiri sisi watujibu swali lile!! tumpunguzie basi mama yetu japo haya mateso ya kutusubiri!!!!!!!!!
My take kwa wana JF
Tafadhari tujadili hili suala la mateso, ni kweli yapo mengi na ya muda mrefu zaidi kwa mwanamke kuliko mwanume?

Magwiji wa mapenzi tupeni experience zenu …………..


Kila mmoja anateseka kulingana na jinsi mlivyogawana mapenzi yenu. Ili wote mfurahie mapenzi, lazima iwepo kitu kinachoitwa "DOUBLE COINCIDENCE OF LOVE" yaani kila mmoja awe anampenda mwenzake sawasawa na jinsi naye anavyopendwa, vinginevyo mmoja atateseka na mapenzi hayo. Mara nyingi aliyependa zaidi ndiye anayeteseka, kwa kuwa mwenzake hatojali shida zake kwa wakati na kwa kiwango sahihi, lakini pia yeye anaweza kujikuta akisamehe makosa hata yaliyowazi kabisa, tena bila masharti wala kiwango. Hujikuta akikubaliana na mienendo ya mwenzake hata yale yasio na maslahi kwake yeye, au hata yenye kumdhalilisha na kumkandamiza yeye, na kuhatarisha maisha yake.

Hivyo, cha msingi ni kwamba; OGOPA KUPENDA BILA KUPENDWA!
 
Kila mmoja anateseka kulingana na jinsi mlivyogawana mapenzi yenu. Ili wote mfurahie mapenzi, lazima iwepo kitu kinachoitwa "DOUBLE COINCIDENCE OF LOVE" yaani kila mmoja awe anampenda mwenzake sawasawa na jinsi naye anavyopendwa, vinginevyo mmoja atateseka na mapenzi hayo. Mara nyingi aliyependa zaidi ndiye anayeteseka, kwa kuwa mwenzake hatojali shida zake kwa wakati na kwa kiwango sahihi, lakini pia yeye anaweza kujikuta akisamehe makosa hata yaliyowazi kabisa, tena bila masharti wala kiwango. Hujikuta akikubaliana na mienendo ya mwenzake hata yale yasio na maslahi kwake yeye, au hata yenye kumdhalilisha na kumkandamiza yeye, na kuhatarisha maisha yake.

Hivyo, cha msingi ni kwamba; OGOPA KUPENDA BILA KUPENDWA!

mzee umedadavua vyema kabisa na umesomeka. thanks very much.

hapo penye bold ndipo pagumu zaidi na panapouma zaidi japo ndilo tunalopaswa kufanya, lakini ngumu sana practically
 
Kila mmoja anateseka kulingana na jinsi mlivyogawana mapenzi yenu. Ili wote mfurahie mapenzi, lazima iwepo kitu kinachoitwa "DOUBLE COINCIDENCE OF LOVE" yaani kila mmoja awe anampenda mwenzake sawasawa na jinsi naye anavyopendwa, vinginevyo mmoja atateseka na mapenzi hayo. Mara nyingi aliyependa zaidi ndiye anayeteseka, kwa kuwa mwenzake hatojali shida zake kwa wakati na kwa kiwango sahihi, lakini pia yeye anaweza kujikuta akisamehe makosa hata yaliyowazi kabisa, tena bila masharti wala kiwango. Hujikuta akikubaliana na mienendo ya mwenzake hata yale yasio na maslahi kwake yeye, au hata yenye kumdhalilisha na kumkandamiza yeye, na kuhatarisha maisha yake.

Hivyo, cha msingi ni kwamba; OGOPA KUPENDA BILA KUPENDWA!


Konakali,

Umemaliza kila kitu. Hakuna kipimio cha kuteseka au kutoteseka. Ni suala la nini kinaendelea katika kila uhusiano (independently of others). Hii iliyopo hapa inaweza kuonekana kuwa kweli endapo itachukuliwa kwa mtazamo wa ndoa za huko nyuma au baadhi ya maeneo ambapo mume ndiye chanzo cha maisha (may be na uhai) katika ndoa. Mwanamke anakuwa mtu wa kupokea tu na siyo mchangiaji wa kuendesha familia. Katika mazingira hayo, mwanamke atakuwa anateseka tu. Kwa hali ya sasa hivi ambapo tunaelekea kwenye 50% kwa 50% (hasa hasa mijini) hii kitu itazidi kuwa historia. Tutaendelea pia kupata hadithi za mateso ya upande wa pili (i.e wanaume wanaoonja joto la jiwe kama inavyoendelea katika nchi kama Denmark).
 
Konakali,

Umemaliza kila kitu. Hakuna kipimio cha kuteseka au kutoteseka. Ni suala la nini kinaendelea katika kila uhusiano (independently of others). Hii iliyopo hapa inaweza kuonekana kuwa kweli endapo itachukuliwa kwa mtazamo wa ndoa za huko nyuma au baadhi ya maeneo ambapo mume ndiye chanzo cha maisha (may be na uhai) katika ndoa. Mwanamke anakuwa mtu wa kupokea tu na siyo mchangiaji wa kuendesha familia. Katika mazingira hayo, mwanamke atakuwa anateseka tu. Kwa hali ya sasa hivi ambapo tunaelekea kwenye 50% kwa 50% (hasa hasa mijini) hii kitu itazidi kuwa historia. Tutaendelea pia kupata hadithi za mateso ya upande wa pili (i.e wanaume wanaoonja joto la jiwe kama inavyoendelea katika nchi kama Denmark).

mzee si denmark tu, mbona hata hapa tz ya leo tayari watu wnaonja joto ya jiwe kama kawaida????????///

nafikiri ishu muhimu uliyogusia n relative position kati ya wanandoa na kiwango cha mapenzi baina yao. ikiwepo imbalance kidogo, upande mmoja unalizwa na mwingine unaingia katika mtego wa unfair relation kama sio adultery kwa kwenda mbele

tutafika tu............
 
Back
Top Bottom