sasa huelewi nini kwamba huyo dada anakuelewa ila hakutaka kuonekana mwepesi akakataa?? kwanza acha mambo ya kutongoza ni uzamani, weekend mpigie muombe mtoke out hata beach pigeni story usiongelee mapenzi kabisa na hakikisha unamla hata mate na story yenu itaanzia hapo acha mambo yako ya nakupenda hisia sijui moyo ukikuona unatanuka silali naota achaaaaaa.
Mm tuu 20's nmedate na 10+ daaahWatatu 3
Mganga karudisha kuku....
Umetishaa saana mkuuMkuu according to wahuni 6: 13 -19 hadi hapo game liko upande wako,, lazima tuchukue kombe.
kwanza, Huyo Demu hajakasirika kama unavyojiaminisha.. huyo ni anatafuta validation, acceptance Carlos The Jackal alishazungumzia hili..
Pili, katika kosa utakalofanya ni kuanza kumpigia simu kila siku,, hili kosa usifanye,, narudia tena usipige simu kama anavotaka.. mchezo utahamia upande wake.
Tatu: Arrange meetings, then huko mkiwa meeting make sure umepiga hata kiss au muite majina ya wapenzi au umeshika tako na la msingi kuliko yote fanya try & error ya kula mzigo,, akileta pozi disccusion ihamie kwenye kula mzigo na sio mitongozo.
Jitahidi kuwa straight kadri ya uwezo wako.
Usimpe attention yako katika kiwango anachotaka,,, make sure always uko chini ya kiwango anachotaka.
Huu ni ushauri tu sio Sheria
Thank me later.
wewe ni mwanamke au mwanaume na kama ni mwanaume iyo"mekuelewa ndo nini"Sawa mkuu mekuelewa