Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,304
- 12,965
Ndiyo maana wamarikani wskamtimua Trump
Ivi na huko ulaya mambo kama haya yapo kweli?? Bungeni kujazana vilaza
Ivi na huko ulaya mambo kama haya yapo kweli?? Bungeni kujazana vilaza
Competency ya aliyemteua hutilii mashaka sio!!??
M
Huyu mama ni kituko. Watu wa aina hii wanapataje teuzi? Na unamsikia Jiwe akidai alilala na mafaili yao kwa siku kadhaa kabla hajawateua...
Mama mjinga sana, anajijuwa yeye kilaza sasa siangejifanya anaumwa siku ya maswali na majibu kifua kidogo wakati akiendelea kufanya mazoezi chumbani ya kusoma. Maana majibu yenyewe anasoma kishaandikiwa na kusoma hawezi. Hizi tamthilia za maswali ya hapo kwa hapo na nyongeza uwongo mtupu kama ni swali la hapohapo na nyongeza kapata muda gani wa kuandika majibu? yaani swali umeshajuwa likitoka hili litaulizwa hili majibu umeandikiwa bado ume fail mtihani. aibuuuu. Leo ndio wameumbuka na bunge hakuna kitu maswali ya hapohapo wala ya nyongeza rehearsal imeshafanywa kama drama tu. huko UK ndio watu wanapigwa swali hapohapo.
Kwa hiyo sio mtu wa Zanzibar? Maana Waziri akitokea bara, Naibu wake anatokea Zanzibar, ama?Katemwa kwenye Baraza na amebakia na ubunge wake wa Jimbo la Kondoa Mjini mkoani Dodoma.
Naibu Waziri wa Fedha BOYA kabisa. Hebu tuwe serious kidogo, hivi Sekta nyeti kama Wizara ya Fedha inaweza kuongozwa na mtu wa aina hii kweli? Kuapa alishindwa dhahiri shahiri lakini akaachwa, leo hii tunaona matokeo ya kushindwa kuapa.Nimesikia ni Mzanzibar, ndugu yake na Makamu wa Rais, Samia Suluhu
Dada hawezi kujibu maswali ya wabunge anayoulizwa papo kwa papo, hadi spika anaona aibu na kuwaruhusu mawaziri wengine wamsaidie
Hakuna sheria inayosema hivyo kwa ngazi ya mawaziri.Kwa hiyo sio mtu wa Zanzibar? Maana Waziri akitokea bara, Naibu wake anatokea Zanzibar, ama?
Kuna wengine ni wabovu ktk presentation ila akikaa mezani na kufanya kazi za makaratasi utabaki na butwaaNimeshindwa kumsikiliza mpaka mwisho maana naona aibu Mimi.
Hivi huyu jpm na CCM yake wanatutafuta maneno nchi hii? Mbona huku ni kudharauliana? Tena mtu kama huyu wizara ya fedha? Wizara ambayo ndio engine ya uchumi na maisha yetu?
Hata kumsikiliza tu maneno yake matamo ya awali anatia mashakaNimesikia ni Mzanzibar, ndugu yake na Makamu wa Rais, Samia Suluhu
Dada hawezi kujibu maswali ya wabunge anayoulizwa papo kwa papo, hadi spika anaona aibu na kuwaruhusu mawaziri wengine wamsaidie
Shame!!! Wabunge wapiga makofi tuuuu!!! Hakuna kitu, kuna wabunge unaweza ukajiuliza walifika fika vipi bungeni, hawajui wanabebwa tu na kujib maswali wanabebwa tenaa haiiiiibbbbbbbuuuuuuuuNimesikia ni Mzanzibar, ndugu yake na Makamu wa Rais, Samia Suluhu
Dada hawezi kujibu maswali ya wabunge anayoulizwa papo kwa papo, hadi spika anaona aibu na kuwaruhusu mawaziri wengine wamsaidie