Duh! mwanasiasa ni nani sasa! au ni wale viongozi wa vyama vya siasa...Mkuu Nyumisi , mbunge hatakiwi na hatakaa awe mwanasiasa. Ila kwetu huku kwenye "nchi za tundu la uchafu" ndio tunakubali kuwafanya wabunge kuwa wanasiasa.
Wabunge ni wawakilishi wa wananchi kwenye kufanya maamuzi.
Hadi wewe humtaki mwana CCMkwenye siasa kafuata nini? sababu moja ya sharti ni hilo la uwezo wa kuzungumza mbele ya watu wengi
Bora hata Ashantu Kijaji, huyu mama ni hakuna kabisa.
..Dr.Ashatu Kijaji ni msomi mzuri, tatizo alikuwa na HASIRA kupita kiasi.
..alikuwa anajibu maswali ya wapinzani kwa hasira mpaka unaogopa anaweza kupasuka.
School Name/Location | Course/Degree/Award | From | To | Level |
---|---|---|---|---|
Institute of Accountancy in Arusha (Coventry University) | Certificate | 2012 | 2013 | Masters Degree |
Institute of Accountancy in Arusha | Certificate | 2008 | 2009 | Postgraduate Diploma |
College of Business Education (CBE) | Certificate | 1999 | 2002 | Advanced Diploma |
Stanford College in Malyasia | Certificate | 1997 | 1998 | Diploma |
Institute of Public Administration, Zanzibar | Certificate | 1991 | 1998 | Certificate |
Karume Technical College Computer Center, Zanzibar | Certificate | 2001 | 2002 | Certificate |
Haile Selassie Secondary School | CSEE | 1986 | 1988 | Secondary School |
Jangwani Girl Secondary School | CSEE | 1989 | 1990 | Secondary School |
Jang'ombe Primary School | CPEE | 1979 | 1986 | Primary School |
Company/Institution | Position | From | To |
---|---|---|---|
Ministry of Finance | Assistant Stock Verification | 1995 | 1998 |
Ministry of Health | Assistant Cashier | 1999 | 2010 |
Ministry of Health (Filariasis & Schistosomiasis Programme) | Accountant | 2005 | 2010 |
Ministry of Health (College of Health Science) | Chief Accountant | 2010 | 2016 |
Ministry of Education (Present to School of Health Sciences - SUZA) | Chief Accountant | 2017 | 2017 |
Nenda kenya ukamsaidie ruto wheel barrow!Kuna muda ukisikia matukio unaona hata aibu kuitwa mtanzania
Hivi this time yupo au katemwa
mbona nilikuwa namuona cool..Dr.Ashatu Kijaji ni msomi mzuri, tatizo alikuwa na HASIRA kupita kiasi.
..alikuwa anajibu maswali ya wapinzani kwa hasira mpaka unaogopa anaweza kupasuka.🤣
halafu hicho chuo hata wenye d flat wanajoin nilijua lazima kuwe na product kama hizi za naibuMwenye CV yake aweke hapa
Wanawapa uwaziri hawa viazi ili waweze kutupiga ipasavyo..ukimweka mjanja hapo atazuia upigaji wao...Nimeshindwa kumsikiliza mpaka mwisho maana naona aibu Mimi.
Hivi huyu jpm na ccm yake wanatutafuta maneno nchi hii? Mbona huku ni kudharauliana? Tena mtu kama huyu wizara ya fedha? Wizara ambayo ndio engine ya uchumi na maisha yetu?
Bando linaruhusu?Hatupati connection,tupeni connection.
Unamjua muasisi wa kusema hatupati connection?Bando linaruhusu?
Nimesikia ni Mzanzibar, ndugu yake na Makamu wa Rais, Samia Suluhu
Dada hawezi kujibu maswali ya wabunge anayoulizwa papo kwa papo, hadi spika anaona aibu na kuwaruhusu mawaziri wengine wamsaidie
Nimesikia ni Mzanzibar, ndugu yake na Makamu wa Rais, Samia Suluhu
Dada hawezi kujibu maswali ya wabunge anayoulizwa papo kwa papo, hadi spika anaona aibu na kuwaruhusu mawaziri wengine wamsaidie
Nimesikia ni Mzanzibar, ndugu yake na Makamu wa Rais, Samia Suluhu
Dada hawezi kujibu maswali ya wabunge anayoulizwa papo kwa papo, hadi spika anaona aibu na kuwaruhusu mawaziri wengine wamsaidie