Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
Siasa zina mambo jamani
niko na kada mmoja wa ccm anadai
eti huduma za loliondo ni moja y ilan zake za uchaguzi 2010/2015..haahaa wakati ukweli ni kwamba yule mzee ni kada mkubwa wa chadema namkewe ni ndugu mkubwa wa mbunge wa chadema...ndesa****mpaka akatoa helikopta yeke kupeeeleka wagonjwa wakapate maji ya babu ambilikile
ccm kazi mnayo
niko na kada mmoja wa ccm anadai
eti huduma za loliondo ni moja y ilan zake za uchaguzi 2010/2015..haahaa wakati ukweli ni kwamba yule mzee ni kada mkubwa wa chadema namkewe ni ndugu mkubwa wa mbunge wa chadema...ndesa****mpaka akatoa helikopta yeke kupeeeleka wagonjwa wakapate maji ya babu ambilikile
ccm kazi mnayo