Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
wakuu,kuna ubishi umetoke huku kitaa,kwa wale mliocheck selection za udsm,pale kwenye results za o-level ambapo grades zako ulizpopata kwenye masomo znapomalizika,kuna grade nyingine inakua imeandkwa,mfano watu wote wa science wameandikiwa grade A na B wakati watu wa aarts wameandikiwa grade A,B.C,D,E,F,H,K,M etc,sasa huku kitaa kuna ubishi kwamba wengne wanasema ndio grade yako ya mkopo na wengne wanasema itakua ina maana nyingne tu.ebu kwa anaejua hzo grade zna maana gani atujuze wakuu.