NIMITZ
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 323
- 481
Usiku au mchana?
Usiku au mchana?
Shilingi Laki saba.Mkuu wewe unaona hako kagari kangeuzwa bei gani?
Mods wafanye nini sasaThis is too much mods ingilieni kati
We mchaga acha kuleta magari yako ya milimani mjiniLa kipuuzi kabisa ...bora hata escudo litakuwa na afadhali...
Mods wafanye nini sasa
Bora hilo sheikh Lina faida.....sasa hiyo takataka hapo juu unaenda nayo wp?We mchaga acha kuleta magari yako ya milimani mjini
Tena umesahau na kama halipati mimba wasahau kabisa kwanguMkuu kama hilo gari halina sifa hizi basi kila aliyelinunua ni fala hasa.
1.Haliungui moto hata kama likimwagiwa petrol na kuwashwa
2.Haliwezi kupata pancha
3.Huhitaji service yoyote kwenye injini kwa zaidi ya miaka 50 zaidi ya kuweka mafuta,oil na maji kwenye Carburetor.
4.Haliwezi kupinduka hata likimbie speed kiasi gani.
5.Zaidi ya chuma cha pua hata likigongwa na treni haliwezi hata kubonyea.
6.Siku zote libakie jipya hata baada ya miaka 30 kama vile limetoka kiwandani Leo.
Kama hilo gari lina sifa tajwa hapo basi sh Bil 2 ni halali kabisa,na kama hakuna hizo sifa,wote walionunua hamnazo kabisa,wana akili ndogo Kama CCM.
HahahahaThis is too much mods ingilieni kati
Mkuu kama unapenda siti nyingi na buti kubwa unanunua basiMzuqa,
Yani binadamu hapana.
Porshe Carrera GT bei yake ni dola laki saba za kimarekani baada ya kodi kabla ya kodi 500k$ karibia billion 2 madaf. Na kuna masenge yamenunua haya magari. Unajiuliza why? mbona watu wamekosa utu na hofu ya Mungu kuchezea pesa namna hii.
View attachment 937735
Kwanza gari lenyewe linasura mbaya. Viti ni vya wawili tu. Halafu halina hata buti sijui ukienda shopping utaweka wapi vitu. Wazungu wamekuwa watu wa hovyo sana.
View attachment 937736View attachment 937737
Hata kama ni class na kusifiwa huu ni upuzi. Hata renji na v8 haifikii huko.
Yani kagari kadogo kabaya kanazidi hadi thamani ya nyumba? Eti kwa kuwa kametengenezwa na material za thamani. Fikiria nyumba ya million mia tu ilivyo na thamani msingi nondo na takataka zote.
narumuk
Kwa sababu hakana hata buti million tatu za tz ingependeza!
Hahahaha
Huko maswa ni sehemu gani uliona hiyo ndinga dingii?Acha uchochezi
Huko maswa ni sehemu gani uliona hiyo ndinga dingii?
Au lalago?
Kuna moja drake alichukua mwezi wa pili inaenda kwenye 4b.
Anakaa kama anakalia kibao cha mbuzi.
Okay kumbe wewe ni Ngosha ndio maana unapenda sana sifaMaswa mjini pale.