Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,350
- 25,452
Watu wanane wauawa na polisi hivi hivi huko Kenya. Halafu jamaa bila haya wanajisifu eti wao ni vinara wa demokrasia. Hata sijui ni demokrasia gani hawa jamaa wanaoiongelea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameshakubali kwamba wamechanganyikiwa hawajui la kufanya
Haya majitu sijui yakoje yaani.Ingetokea marekani ungeona wakenya walivyo kimbelembele kuandamana ila nchini kwao wako kimya