Ni uzembe wa hali juu....wauzaji wa hizo soda wanakutana na vioja hivyo sana tu.....mara ukute soda ina kizibo cha pepsi....sasa huwa nashindwa kuelewa kizibo cha pepsi coca kimeingia vipi.....na kutoka kimetoka vipi...ina maana sehemu zote inamopita soda hawajaona?
Ooyooo nahau ni bora ya musa koliko ya firauni na nishawai kuwona soda ina mende ndani yake na haya yote ni masilai ya mshahara wa kima cha mkia wa mbuzi na haupandi ngo na tiyeni kila
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.