John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,341
Vituko hivi!
Tunaingiza 'Mchina' HADI KWENYE carriage ya wagonjwa!...huh!
Itungwe Sheria ya kuwazika viongozi wapumbavu wazimawazima au wabanikwe kama kuku:mad2:
tena makaburi yao yasiwe yanajengewa na tiles kama la Kanumba..hawa wanafukiwa na mchanga wakiwa wazima wazima
Kaka sio hasira ial wewe mwenywee angalia eti watu wamekodisha ndege kwa miezi 47 ila hizo pesa za kukodishia unaweza kununua ndege mbili mpya za air bus. wewe kama mtu mwenye akili timamu utanunua ndege amaDuh!
popo punguza hasira popo
Kaka sio hasira ial wewe mwenywee angalia eti watu wamekodisha ndege kwa miezi 47 ila hizo pesa za kukodishia unaweza kununua ndege mbili mpya za air bus. wewe kama mtu mwenye akili timamu utanunua ndege ama
Umeijenga wewe bibie? Acha kusifi hata vitu visivyo na msingi. Kwa dhahabu yoote ile tuliyo nayo kweli hiyo ndiyo ambulance inayotufaa sisi? Mwambie Kikwete apunguze safari zisizo na tija labda tunaweza kununua ambulance yenye hadhi.Kama si ambulance ni nini hiyo? ilikuwepo hiyo wakati wa Nyerere, Mwinyi, Mkapa?
Halafu haijakarabatiwa VIP lounge, imejengwa mpya, wacha kudanganya umma.
Umeijenga wewe bibie? Acha kusifi hata vitu visivyo na msingi. Kwa dhahabu yoote ile tuliyo nayo kweli hiyo ndiyo ambulance inayotufaa sisi? Mwambie Kikwete apunguze safari zisizo na tija labda tunaweza kununua ambulance yenye hadhi.
Kaka sio hasira ial wewe mwenywee angalia eti watu wamekodisha ndege kwa miezi 47 ila hizo pesa za kukodishia unaweza kununua ndege mbili mpya za air bus. wewe kama mtu mwenye akili timamu utanunua ndege ama