Eti haya maswali majibu yake ni nini?

hayo maswali ni mtego tu kwa kwa jinsi nionavyo!anakuwa anajaribu tu uone namna gani anavyojisikia kwako lakini lengo kubwa ni kubanjuka na wewe tu ingawa upo kwenye ndoa!

Ha ha ha kazi kweli kweli
 
Kweli huyo mtu anayesema hivyo how sure he is kuwa huyo hawara akiingia ndani hatakuwa na kasoro anazoziona kwa wife?

Ni lugha za mihemko tu; wakati mwingine hata si mihemko per se ila wanaume wazoefu a.k.a. bad boys, know exactly what, when and how to say; ndo maana wanawapanga wanawake.

refer no moja sis sasa huyo suppose ni mume wa mtu anamwambia tu hawara anakuwa amemsoma vp hzo tabia maana tabia nyingine zinachukua muda mrefu kusomeka kumbuka
ujue unavokaa na mtu muda mrefu ndo unavogundua weakness zake na magaps.
kuna watu siku iyoiyo anasema loh ningekuwa nimekuona wewe ningekuoa loh? si mihemko tu jamani huyo maana sidhani kama in the first sight unaweza kuwa na sifa zooote kumzidi mwenza wake
 
Nimependa hapo nilipopigia mstari "kwa kipindi hicho". Maana watu wa hivyo wana mapenzi ya msimu; hata huyo anayempa maneno kama hayo in few years time anaonekana si mali kitu anaenda kuwaimbisha wengine same song; "ningekuwa sijaoa/olewa ningekuoa/olewa na wewe"

DA naomba nikunyooshee kuwa tamaa tu ndiyo inayowasumbua watu wa dizaini hiyo. Hivi ukimtongoza mtu mpaka umdanganye ndiyo akukubali? Inaeleweka kuwa inaweza kutokea kutokuelewana ndani ya nyumba lakini siyo kufikia kusema ulikosea kufanya uchaguzi. Mimi nadhani kama unataka kazi za nje fanya lakini siyo kwa kumkandia mkeo/girl friend wako vinginevyo muache umuoe huyo unayeona anakuvutia kwa kipindi hicho.
 
IMO Ndoa ni mtihani saana… Kumpata mtu wa kuolewa/kuoa ni mtihani wa hali ya juu saana…. Wanadamu tunatabia mbali mbali, tokana na mazingira/tamaduni/malezi/exposure yalo pishana from one to another person. Bahati mbaya ni kua sasa hivi tunaoana na watu ambao hujawahi tia machoni mwako maybe for the last 28 years huko nyuma (depending na miaka yako); mnakutana mjini humo na kudondokeana na hatimae hata kuoana…. Kauli hizo ulitoa hutokana na the below causes….


  1. Upo dissapointed in your spouse… yaani baada ya kuingia katika ndoa ndio unagundua the true colors ya huyo spouse… Vitabia vyaweza kua vidogo dogo but vinakeara kamavile Uchoyo, Uvivu kupita mpaka, ubaguzi wa ndugu, annoying habits related to sex, tamaa ya vitu hivo kuto kua na focus ya future yenu na the like… Unapokutana na mtu ambae anaonekana ni nafuu ya huyo ulonae wajikuta ukongea hayo….
  2. Kutoendana na mwenza wako… Hana shida yoyote ile BUT interest zenu ni completely different.. Nitolee mfano kwangu; as much as ni mtu mzima I still love Music (hata ya vijana)-sina maana clubbing, napenda books hasa reading, napenda once in a while nitoke outing na ni dress up… Basi ingetokea napata mume ambae hapendi kabisa hayo mambo – yaani kitendo cha kuwasha bedside lamp nisome kitabu kabla ya kulala kwake yeye ni kero… Kitendo cha kusikiliza Music ya vijana hali labda yeye anataka ya dini ni kero…. Kitendo cha kusema natoka anitoe out kwake ni kero…. Ni vitu vidogo but sometimes unajuta!
  3. Nyingine ni simply tu because you don’t feel loved but you do kwa huyo mtu – Hii sio nzuri saana for mara nyingi penzi jipya ni exciting, hivo new love feelings are in most cases “Stronger” than mtu ambae umeishi nae kwa mda mrefu…. Inahitaji busara ya hali ya juu saana (thou it is very straining)
  4. Lingine ni maneno yanatolewa bila kumaanisha – ili mradi tu kumfurahisha msikilizaji…. Ambae mara nyingi malengo ni kutaka tu kuvuana nguo….
kuna ubaya?
 
Dena,haya ni mambo ya kawaida kwenye malavidavi,ni katika kushadadia tu.
 
You know what Cantalisia? I like you already!

Wanawake wengi hatuna uwezo wa ku analyse maneno ya wanaume. Mwanaume yeyote anaye speak dirty kuhusu mke au girlfriend wake unapaswa umkatae kwani he will do the same to you; ni tabia yake. Gentlemen hawawaongelei wanwake wao vibaya no matter what.

Mfano when I met my hubby the only thing alichonambia ni jina la ex wake baada ya kumuuliza; na hakunipa details why they broke up. Ni mimi ndiye niliyefanya research na kugundua kuwa the lady got married and lots of stories that he was cheating on him.

Hiyo ilinifanya nimpe credit.


Even the boyfriend before my hubby hakuwahi kumbonda ex wake kwangu; Na nina imani hata mimi hatakuwa alinisema vibaya kwa alonaye sasa kwa kuwa si tabia yake. hence I still believe wanaume wengi wana respect wanawake.

Wanaume wenye tabia mbovu strategy zao za kupata wasichana ni kubwabwaja; ooh demu alikuwa kicheche; ooh wala alikuwa anifikishi popote; ooh alikuwa ananiganda sikuwa na mpango nae; ukiona mwanume mwenye MDOMO KAMA CHUCHUNGE KIMBIA Faster! He is not a man enough! Hizo ni tabia za vivulana a.k.a sharobaro.


Sasa mwingine akiambiwa ningekuwa sijaoa ningekuoa wewe basi bichwa linakuwa kuubwa ndo kwanza anaendelea kuuliza "kwani mkeo ana kasoro gani?" huku full tabasamu. Ohh hajuhi kupika; hajuhi kusex; wewe ndio chagua; huku anakuja kwako kwa wizi. Kama ni chaguo amewekewa msumari kwa nini asifanye maamuzi magumu ya kukuchukua jumla?

Yani DA wananikera sn hawa viumbe wa aina hii maneno mengi kumbe tamaa tu hana lolote tena wengine utakuta wanawekwa mjin na wake zao,nishasema OLE WAKE,kwanza hii ni kushushiana hadhi tu kwan mie sistahili kuwa na wangu mpaka watake kunifanya nyumba ndogo!Ebo
 
aisee, hizo kauli huwa sipendi kuzisikia maana najua ni za uongo.
sipendi mwanaume anayemponda mwanamke mbele yangu.
sipendi mwanaume anayemlinganisha uzuri mpenzi wake na wanawake wengine.
sipendi wanaume wanaopenda kusifia viungo vya mwili hasa wakati wanaapproach.
sipendi wanaume wanaohadithia mapungufu ya wapenzi wao kwa watu wa nje.
hizo zote kauli. wanaume mjirekebishe.
 
aisee, hizo kauli huwa sipendi kuzisikia maana najua ni za uongo.
sipendi mwanaume anayemponda mwanamke mbele yangu.
sipendi mwanaume anayemlinganisha uzuri mpenzi wake na wanawake wengine.
sipendi wanaume wanaopenda kusifia viungo vya mwili hasa wakati wanaapproach.
sipendi wanaume wanaohadithia mapungufu ya wapenzi wao kwa watu wa nje.
hizo zote kauli. wanaume mjirekebishe.
na wanawake wanaotutangaza kuwa tuna 'vibamia' na bata afadhali tukiingia tunatapika hapo hapo?
 
na wanawake wanaotutangaza kuwa tuna 'vibamia' na bata afadhali tukiingia tunatapika hapo hapo?

hao wanawake wa wapi? wanaume ndio zenu kupondea mnapotoka kwa lengo la kusafisha mnapoenda. kwa mdada mwenye akili zake hawezi kufurahia hilo.
 
Hapo chacha; utasikia aisee umeumbika mguu mguu; macho macho; Sasa wenye miguu na macho mazuri humu duniani (hasa TZ) ni wangapi? Ntakuwaje na uhakika ukiona mwenye mguu na macho kama yangu hutamtamani? Kwa kweli hizo ni lugha za wanaume players.

aisee, hizo kauli huwa sipendi kuzisikia maana najua ni za uongo.
sipendi mwanaume anayemponda mwanamke mbele yangu.
sipendi mwanaume anayemlinganisha uzuri mpenzi wake na wanawake wengine.
sipendi wanaume wanaopenda kusifia viungo vya mwili hasa wakati wanaapproach.
sipendi wanaume wanaohadithia mapungufu ya wapenzi wao kwa watu wa nje.
hizo zote kauli. wanaume mjirekebishe.
 
Hapo chacha; utasikia aisee umeumbika mguu mguu; macho macho; Sasa wenye miguu na macho mazuri humu duniani (hasa TZ) ni wangapi? Ntakuwaje na uhakika ukiona mwenye mguu na macho kama yangu hutamtamani? Kwa kweli hizo ni lugha za wanaume players.

umeona eeeeh? wanawake wawe makini tu kwa kweli. ngoja niandae darasa tuongee mambo flani flani maana hii minjemba imezidi.
 
hizo ni lugha tu za kimihemko dada
watu wakiwa kwenye mihemko akili na mdomo havifanyi kazi kwa ushirikiano

umenikumbusha jamaa mmoja tunafanya nae kazi, maana huwa anasema kuwa akili ikiwa inafanya kazi mihemko na vitu vinavyohusiana hivyo vya kutamani ku do huwa havipo kabisa na pale inapofika wakati mtu anahitaji au kahemka akili huwa iko likizo kiidogo! hivyo nahisi mtu akisema hivyo huwa mind inafanyakazi anticlockwise kwani tayari anakuwa kahemka! Nahisi pia huyu mtu anakuwa na tamaa sana na kuona aliyenaye hamfai pale anapomuona mdada mrembo au hakuingia kwenye ndoa kwa shinikizo hivyo anakuwa anajuta kuwa nae!
 
nyumba kubwa na zawadi yako ya juice mpenzi umesema ukweli kabisa.
You know what Cantalisia? I like you already!

Wanawake wengi hatuna uwezo wa ku analyse maneno ya wanaume. Mwanaume yeyote anaye speak dirty kuhusu mke au girlfriend wake unapaswa umkatae kwani he will do the same to you; ni tabia yake. Gentlemen hawawaongelei wanwake wao vibaya no matter what.

Mfano when I met my hubby the only thing alichonambia ni jina la ex wake baada ya kumuuliza; na hakunipa details why they broke up. Ni mimi ndiye niliyefanya research na kugundua kuwa the lady got married and lots of stories that he was cheating on him.

Hiyo ilinifanya nimpe credit.


Even the boyfriend before my hubby hakuwahi kumbonda ex wake kwangu; Na nina imani hata mimi hatakuwa alinisema vibaya kwa alonaye sasa kwa kuwa si tabia yake. hence I still believe wanaume wengi wana respect wanawake.

Wanaume wenye tabia mbovu strategy zao za kupata wasichana ni kubwabwaja; ooh demu alikuwa kicheche; ooh wala alikuwa anifikishi popote; ooh alikuwa ananiganda sikuwa na mpango nae; ukiona mwanume mwenye MDOMO KAMA CHUCHUNGE KIMBIA Faster! He is not a man enough! Hizo ni tabia za vivulana a.k.a sharobaro.


Sasa mwingine akiambiwa ningekuwa sijaoa ningekuoa wewe basi bichwa linakuwa kuubwa ndo kwanza anaendelea kuuliza "kwani mkeo ana kasoro gani?" huku full tabasamu. Ohh hajuhi kupika; hajuhi kusex; wewe ndio chagua; huku anakuja kwako kwa wizi. Kama ni chaguo amewekewa msumari kwa nini asifanye maamuzi magumu ya kukuchukua jumla?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom