Ibrahim daud
JF-Expert Member
- Feb 10, 2013
- 609
- 523
Kuna wasela hapa mtaani kila siku yani wanakunywa pombe kila siku
Ipoje hii
Ipoje hii
Pombe za aina gani?Kuna wasela hapa mtaani kila siku yani wanakunywa pombe kila siku
Ipoje hii
Tuma kwenye namba hii jina litasoma Bambushka!Mjini mipango, si lazima wote tuingie ofisini!!
Wengine simu zetu ndo ofisi, miamala tu anasoma
mie naona wew ndo huna kazi mkuuKuna wasela hapa mtaani kila siku yani wanakunywa pombe kila siku
Ipoje hii
Acha kupiga ramli...Kuna wasela hapa mtaani kila siku yani wanakunywa pombe kila siku
Ipoje hii
Wewe Fata maisha yakoKuna wasela hapa mtaani kila siku yani wanakunywa pombe kila siku
Ipoje hii
Na weye wakomeshe.Kula ugali sana.Unaobaki uuweke mfuko wako wa suruali uwe unakula polepole kama karanga.Kuna wasela hapa mtaani kila siku yani wanakunywa pombe kila siku
Ipoje hii
KwelNa weye wakomeshe.Kula ugali sana.Unaobaki uuweke mfuko wako wa suruali uwe unakula polepole kama karanga.
NB;Utajipa sonona kwa kufuatilia nyendo za maisha ya watu wasiokuhusu.
Ndiyo maana yake.Tena uule ukiwa mkavu.Kwel
K vantPombe za aina gani?