Ya suma lee. Ni mpya, imepgwa tbc1 mda mchache uliopita!Nyimbo gani?
Ya suma lee. Ni mpya, imepgwa tbc1 mda mchache uliopita!
huko mpwapwa hata tbcone kwa mwenyekiti wa kijiji au?lol
Inakera sana watu wanaojidai na kujiita waswahili wanaposhindwa kuandika kiswahili na wanachafuwa mazingira wanapoongea"ga". Sijui hizi "ga" "ga" zimetokea"ga" wapi?
Nimeiona ya ukweli sana!... Haya sasa twaletewa sam wa ukweli.we mtoto umeiona ile ya naenda kusema kwa mama?lol
Inakera sana watu wanaojidai na kujiita waswahili wanaposhindwa kuandika kiswahili na wanachafuwa mazingira wanapoongea"ga". Sijui hizi "ga" "ga" zimetokea"ga" wapi?
Inakera sana watu wanaojidai na kujiita waswahili wanaposhindwa kuandika kiswahili na wanachafuwa mazingira wanapoongea"ga". Sijui hizi "ga" "ga" zimetokea"ga" wapi?
hii nyimbo itachangia mno kuharibu kiswahili.....
sio kiswahili fasaha kusema hakunaga.....