makoga pangatulale
Member
- Oct 30, 2017
- 78
- 90
Serikali ya awamu ya tano imekuja na sera ya elimu bure, lakini Hali imekuwa tofauti kabisa.
Katika tarafa ya lupembe Kijiji cha Wanginyi wananchi wanachangia fedha ya kuwalipa walimu wa kujitolea kutokana na uhaba wa waalimu ktk Shule ya Msingi Wanginyi.
Wananchi wanafuatwa na migambo ili waweze kutoa fedha za kuwalipa waalimu wa kujitolea. Hapo dhana ya elimu bure iko wapi?
Naomba Rais Magufuli angalia jambo hili.
Katika tarafa ya lupembe Kijiji cha Wanginyi wananchi wanachangia fedha ya kuwalipa walimu wa kujitolea kutokana na uhaba wa waalimu ktk Shule ya Msingi Wanginyi.
Wananchi wanafuatwa na migambo ili waweze kutoa fedha za kuwalipa waalimu wa kujitolea. Hapo dhana ya elimu bure iko wapi?
Naomba Rais Magufuli angalia jambo hili.