Eti chagua mwanamke wa level yako, huu upuuzi siuelewi

instagram

JF-Expert Member
May 27, 2014
2,091
4,715
Utakuta nimetoa lawama kuhusu mwanamke wangu kuwa na matumizi makubwa sana kuliko kipato chetu/changu, japo mimi kipato changu siyo kibaya, million mbili tatu kwa mwezi. Ila mwanamke wangu amekua na matumizi mengi kwamba najiona kama nna hali mbaya.

Kibaya zaidi utakuta kuna mafisi ukitafuta ushauri utasikia ooh tafuta wa level yako. Ukute fisi linaingiza laki na nusu kwa mwezi tu ila linatoa ushauri huo.
Hivi kwa nini wabongo wana roho mbaya sana unapohitaji ushauri?
 
tatizo mnaomba ushauri alafu mna expect mtu akupe ushauri unaoutaka,mtu akikushauri tofauti na unavofikiria unapandisha thread...ni hiv hakuna mwanamke wa gharama dunia hii,inategemea wewe una hadhi gani huu ndo ukweli,ndo mana kuna watu wanahonga magari ya gharama na nyuma penthouses huku wengine wakihonga vocha na chips kavu tu,ukiona mwanamke anamatumizi makubwa achana nae na TAFUTA HADHI YAKO!
 
Unaomba ushauri unashauriwa bdo unalalamika jaman


Ni hv kosa ni lako kama mwanzo ulimuonesha unapesa lazma na yeye aende ki pesapesa kwahyo tulia

Si mara zote utapewa ushauri unaotaka ww kuusikia
 
Una hasira sana mkuu.

Nadhani ni sahihi tafuta wa levo yako. Hata hivyo mapenzi sio kitu cha lazima. Unalitambua hilo?@instagram,
 
Hivi unajua maana ya ushauri??? Unampangia mtu cha kukushauri???
 
Kwaiyo kwa mwezi hukosi milioni mbili, milioni tatu
Kipato cha million mbili tatu kwa mwezi asingekuja na Uzi humu kulalamika jamaa yake kaja geto bila taarifa wakati huo alikuwa kapasha kiporo chake na soda akawa anafikiria jinsi ya kumfukuza.

Nb;mwenye kipato cha "milioni mbili tatu" sidhani kama anaweza kukaa geto la chumba kimoja a.k.a store
 
Inategemea umetafsiri vipi "wa level yako" mi nikikwambia tafuta wa level yako inawezekana namaanisha unaye mmudu, hata kama unaingiza milioni kumi kila mwezi unaweza shindwa mmudu mwanamke kitendo cha wewe kuleta hoja ya kupata ushauri ina maana umeshajaribu kadri unavyoweza kumshape atumie kiasi unachotaka lakini ikashindikana kwa maana haendani na matakwa yako by default sio level yako, level yako ni yule anayekusikiliza na anakuheshimu kama mwanaume wake bila kujali unaingiza milioni 100 au elfu 50 kwa mwezi, hii pia ni tafsiri nyingine ya level yako.
 
Utakuta nimetoa lawama kuhusu mwanamke wangu kuwa na matumizi makubwa sana kuliko kipato chetu/changu, japo mimi kipato changu siyo kibaya, million mbili tatu kwa mwezi. Ila mwanamke wangu amekua na matumizi mengi kwamba najiona kama nna hali mbaya.

Kibaya zaidi utakuta kuna mafisi ukitafuta ushauri utasikia ooh tafuta wa level yako. Ukute fisi linaingiza laki na nusu kwa mwezi tu ila linatoa ushauri huo.
Hivi kwa nini wabongo wana roho mbaya sana unapohitaji ushauri?

Dah! yaani jioni nimepumzika zangu baada ya mishe zangu, nimefanya ka usafi kidogo ghetto nina msosi wangu ready kwenye microwave, soda yangu baridi kwenye friji nimeoga safi najiandaa nicheki muvi yangu huku nakula nilale mara paap mlango: "Ngo ngo ngoo" , mimi: "Nani?", msela: "Mimi hapa niko nje hapa".

Dah! Siyo kesi nasema, one time nafungua msela ananiambia ana ishu mbili za emergency. Ok namkaribisha ananieleza ishu za kichovu hazina hata uzito then namsikiliza kamaliza sijaona ishu ya maana yoyote ila msela ndo keshakaa na simu yake kaweka kwenye chaji yangu na ukimuona hapo sijui ndo katoka kwenye mazoezi sijui mihangaiko ananuka jasho ghetto lote halifai.

Yaani mtu kaniharibia mudi, hali ya hewa, na ndo kwanza katulia anacheki TV msosi unanisubiri kwenye microwave nashindwa nimuambiaje msela ili asepe yaani hana hata ratiba ya kuondoka na mimi nataka privacy ghetto kwangu.

Hivi inakuwaje mtu unaibuka tu kwa mtu bila mpangilio wala hata kupiga simu ili mtu ajue kwamba akukwepe vipi?
 
Yaani mtu anatumia pesa vibaya ambazo hata hajazitafuta, wanawake wengine wana raha jamani
 
!
IMG_20191129_142845.jpeg
 
Kipato cha million mbili tatu kwa mwezi asingekuja na Uzi humu kulalamika jamaa yake kaja geto bila taarifa wakati huo alikuwa kapasha kiporo chake na soda akawa anafikiria jinsi ya kumfukuza.

Nb;mwenye kipato cha "milioni mbili tatu" sidhani kama anaweza kukaa geto la chumba kimoja a.k.a store
Masaki chumba kimoja ni $1000 kwaiyo unavyosema fikiria. Na million mbili siyo pesa nyingi kama unavyodhania wewe wengine hela iyo tuna struggle kutokana na majukumu ndo mana inakuta mtu ana million 2 kwa mwezi na bado anapanga chumba na sebule mbezi beach kwa laki nne.
 

Dah! yaani jioni nimepumzika zangu baada ya mishe zangu, nimefanya ka usafi kidogo ghetto nina msosi wangu ready kwenye microwave, soda yangu baridi kwenye friji nimeoga safi najiandaa nicheki muvi yangu huku nakula nilale mara paap mlango: "Ngo ngo ngoo" , mimi: "Nani?", msela: "Mimi hapa niko nje hapa".

Dah! Siyo kesi nasema, one time nafungua msela ananiambia ana ishu mbili za emergency. Ok namkaribisha ananieleza ishu za kichovu hazina hata uzito then namsikiliza kamaliza sijaona ishu ya maana yoyote ila msela ndo keshakaa na simu yake kaweka kwenye chaji yangu na ukimuona hapo sijui ndo katoka kwenye mazoezi sijui mihangaiko ananuka jasho ghetto lote halifai.

Yaani mtu kaniharibia mudi, hali ya hewa, na ndo kwanza katulia anacheki TV msosi unanisubiri kwenye microwave nashindwa nimuambiaje msela ili asepe yaani hana hata ratiba ya kuondoka na mimi nataka privacy ghetto kwangu.

Hivi inakuwaje mtu unaibuka tu kwa mtu bila mpangilio wala hata kupiga simu ili mtu ajue kwamba akukwepe vipi?
Sawa adimini
 
Back
Top Bottom