Eti bati, Kagera tuna Kiwanda cha Sukari tunaomba mtuuzie kilo kwa Mia tano

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,890
Heshima kwenu wakuu,

Naomba nitumie nafasi hii kumpongeza rais kwa mawazo mazuri ya kujenga na kutuinua wanakagera, hakika ana upendo wa hali ya juu.

Mimefarijika zaidi nliposikia akimwambia Mbunge wa Bukoba Mhe. Lwakatare kwamba atafute muwekezaji ili aweze kujenga kiwanda cha kutengeneza bati ili tuuziwe 1,000 kwa kila bati na rais atamsaidia. Kwakuwa kujenga kiwanda cha mabati kiwanda cha mati itachukua muda mrefu, tunaomba hiyo roho ya kutupunguzia bidhaa mbalimbali ianzie kiwanda cha kagera Sugar.

Mimi nakaa hapa Misenyi jirani na kiwandani yaani kwenda kiwandani natumia dakika kumi kwa mguu lakini sukari inauzwa 2,200/= .

Hakika uwekezaji tunao wa Sukari wa kiwanda cha Kagera Sugar. Hivyo wakati tunafanya mchakato wa kiwanda cha bati, tunaomba utupunguzie bei kwenye sukari hata ukitaka useme mia tano au mbili kwani Uwezo wa kusema unao just kutamka tu na hawa wawekezeji wapo chini yako sababu wewe ni rais wa watu wote.

Ukifanikiwa hilo nitatambua kweli kwamba wewe ni Msema kweli na Mpenzi wa Mungu na ntakuombea siku zote ili uendelea kutumbua majipu na kuwafanya mafisadi waishi kama mashetani.

Asante sana.
 
Duh umefikiria mbali haya ngoja waje wapiga zumari kuimba nyimbo zao za fanyeni kazi mlizoea ufisadi
 
Tumia hata akili kidogo kuelewa kuwa kubadilisha mkataba ni vigumu kuliko kuingia mkataba.

Mwekezaji wa kiwanda cha mabati atapewa masharti mbali mbali na serikali ikiwemo ya uuzaji wa mabati kwa bei ya chini kwa wananchi wanaozunguka maeneno ya kiwanda kabla ya kuanza uwekezaji.

Huwezi leo kwenda kwenye kiwanda cha sukari ukaanza kuweka masharti wakati makubaliano yalikuwa ni mengine.

Kagera Sugar walishaingia mkataba na serikali muda mrefu na huwezi kuwalazimisha kwa sasa wabadilishe mkataba.

Hivi mlienda shule kusomea ujinga-By FaizaFoxy
 
Tumia hata akili kidogo kuelewa kuwa kubadilisha mkataba ni vigumu kuliko kuingia mkataba.

Mwekezaji wa kiwanda cha mabati atapewa masharti mbali mbali na serikali ikiwemo ya uuzaji wa mabati kwa wananchi wanaozunguka maeneno ya kiwanda kabla ya kuanza uwekezaji.

Huwezi leo kwenda kwenye kiwanda cha sukari ukaanza kuweka masharti wakati makubaliano yalikuwa ni mengine.

Hivi mlienda shule kusomea ujinga-By FaizaFoxy
Hata kiwanda kipya kikijengwa hakuna muwekezaji anaetaka hasara ili kuifurahsha serkal,ivo kama presda ana dhamira ya dhat kuwasaidia wanakagera,atoe kod kwny sukar ili iuzwe bei rahis
 
Hata kiwanda kipya kikijengwa hakuna muwekezaji anaetaka hasara ili kuifurahsha serkal,ivo kama presda ana dhamira ya dhat kuwasaidia wanakagera,atoe kod kwny sukar ili iuzwe bei rahis
Kwa kukusaidia zaidi kuhusu masuala ya sukari, jaribu kusoma sheria inayoitwa Sugar Industry Act 2001.

Unaweza ku-download HAPA
 
Ndyo maana JF inanyemelewa kufunga. Humu sasa kuna member kama 30% ni mashushushu wanatafta visababu
 
Heshima kwenu wakuu,

Naomba nitumie nafasi hii kumpongeza rais kwa mawazo mazuri ya kujenga na kutuinua wanakagera, hakika ana upendo wa hali ya juu.

Mimefarijika zaidi nliposikia akimwambia Mbunge wa Bukoba Mhe. Lwakatare kwamba atafute muwekezaji ili aweze kujenga kiwanda cha kutengeneza bati ili tuuziwe 1,000 kwa kila bati na rais atamsaidia. Kwakuwa kujenga kiwanda cha mabati kiwanda cha mati itachukua muda mrefu, tunaomba hiyo roho ya kutupunguzia bidhaa mbalimbali ianzie kiwanda cha kagera Sugar.

Mimi nakaa hapa Misenyi jirani na kiwandani yaani kwenda kiwandani natumia dakika kumi kwa mguu lakini sukari inauzwa 2,200/= .

Hakika uwekezaji tunao wa Sukari wa kiwanda cha Kagera Sugar. Hivyo wakati tunafanya mchakato wa kiwanda cha bati, tunaomba utupunguzie bei kwenye sukari hata ukitaka useme mia tano au mbili kwani Uwezo wa kusema unao just kutamka tu na hawa wawekezeji wapo chini yako sababu wewe ni rais wa watu wote.

Ukifanikiwa hilo nitatambua kweli kwamba wewe ni Msema kweli na Mpenzi wa Mungu na ntakuombea siku zote ili uendelea kutumbua majipu na kuwafanya mafisadi waishi kama mashetani.

Asante sana.
Ngoja waje wazee wa [HASHTAG]#Hapa[/HASHTAG] Kazi Tu. Utaambiwa ufanye kazi ulizoea vya bure.
 
Heshima kwenu wakuu,

Naomba nitumie nafasi hii kumpongeza rais kwa mawazo mazuri ya kujenga na kutuinua wanakagera, hakika ana upendo wa hali ya juu.

Mimefarijika zaidi nliposikia akimwambia Mbunge wa Bukoba Mhe. Lwakatare kwamba atafute muwekezaji ili aweze kujenga kiwanda cha kutengeneza bati ili tuuziwe 1,000 kwa kila bati na rais atamsaidia. Kwakuwa kujenga kiwanda cha mabati kiwanda cha mati itachukua muda mrefu, tunaomba hiyo roho ya kutupunguzia bidhaa mbalimbali ianzie kiwanda cha kagera Sugar.

Mimi nakaa hapa Misenyi jirani na kiwandani yaani kwenda kiwandani natumia dakika kumi kwa mguu lakini sukari inauzwa 2,200/= .

Hakika uwekezaji tunao wa Sukari wa kiwanda cha Kagera Sugar. Hivyo wakati tunafanya mchakato wa kiwanda cha bati, tunaomba utupunguzie bei kwenye sukari hata ukitaka useme mia tano au mbili kwani Uwezo wa kusema unao just kutamka tu na hawa wawekezeji wapo chini yako sababu wewe ni rais wa watu wote.

Ukifanikiwa hilo nitatambua kweli kwamba wewe ni Msema kweli na Mpenzi wa Mungu na ntakuombea siku zote ili uendelea kutumbua majipu na kuwafanya mafisadi waishi kama mashetani.

Asante sana.
Ngoja waje wazee wa [HASHTAG]#Hapa[/HASHTAG] Kazi Tu. Utaambiwa ufanye kazi ulizoea vya bure.
 
Tumia hata akili kidogo kuelewa kuwa kubadilisha mkataba ni vigumu kuliko kuingia mkataba.

Mwekezaji wa kiwanda cha mabati atapewa masharti mbali mbali na serikali ikiwemo ya uuzaji wa mabati kwa wananchi wanaozunguka maeneno ya kiwanda kabla ya kuanza uwekezaji.

Huwezi leo kwenda kwenye kiwanda cha sukari ukaanza kuweka masharti wakati makubaliano yalikuwa ni mengine.

Hivi mlienda shule kusomea ujinga-By FaizaFoxy
Mkuu we ndo ulienda kusomea ujinga.Msome vizuri na umuelewe mwandishi.
 
Heshima kwenu wakuu,

Naomba nitumie nafasi hii kumpongeza rais kwa mawazo mazuri ya kujenga na kutuinua wanakagera, hakika ana upendo wa hali ya juu.

Mimefarijika zaidi nliposikia akimwambia Mbunge wa Bukoba Mhe. Lwakatare kwamba atafute muwekezaji ili aweze kujenga kiwanda cha kutengeneza bati ili tuuziwe 1,000 kwa kila bati na rais atamsaidia. Kwakuwa kujenga kiwanda cha mabati kiwanda cha mati itachukua muda mrefu, tunaomba hiyo roho ya kutupunguzia bidhaa mbalimbali ianzie kiwanda cha kagera Sugar.

Mimi nakaa hapa Misenyi jirani na kiwandani yaani kwenda kiwandani natumia dakika kumi kwa mguu lakini sukari inauzwa 2,200/= .

Hakika uwekezaji tunao wa Sukari wa kiwanda cha Kagera Sugar. Hivyo wakati tunafanya mchakato wa kiwanda cha bati, tunaomba utupunguzie bei kwenye sukari hata ukitaka useme mia tano au mbili kwani Uwezo wa kusema unao just kutamka tu na hawa wawekezeji wapo chini yako sababu wewe ni rais wa watu wote.

Ukifanikiwa hilo nitatambua kweli kwamba wewe ni Msema kweli na Mpenzi wa Mungu na ntakuombea siku zote ili uendelea kutumbua majipu na kuwafanya mafisadi waishi kama mashetani.

Asante sana.
Mkuu bati book moja
Labda liwe bati LA mabox
 
Heshima kwenu wakuu,

Naomba nitumie nafasi hii kumpongeza rais kwa mawazo mazuri ya kujenga na kutuinua wanakagera, hakika ana upendo wa hali ya juu.

Mimefarijika zaidi nliposikia akimwambia Mbunge wa Bukoba Mhe. Lwakatare kwamba atafute muwekezaji ili aweze kujenga kiwanda cha kutengeneza bati ili tuuziwe 1,000 kwa kila bati na rais atamsaidia. Kwakuwa kujenga kiwanda cha mabati kiwanda cha mati itachukua muda mrefu, tunaomba hiyo roho ya kutupunguzia bidhaa mbalimbali ianzie kiwanda cha kagera Sugar.

Mimi nakaa hapa Misenyi jirani na kiwandani yaani kwenda kiwandani natumia dakika kumi kwa mguu lakini sukari inauzwa 2,200/= .

Hakika uwekezaji tunao wa Sukari wa kiwanda cha Kagera Sugar. Hivyo wakati tunafanya mchakato wa kiwanda cha bati, tunaomba utupunguzie bei kwenye sukari hata ukitaka useme mia tano au mbili kwani Uwezo wa kusema unao just kutamka tu na hawa wawekezeji wapo chini yako sababu wewe ni rais wa watu wote.

Ukifanikiwa hilo nitatambua kweli kwamba wewe ni Msema kweli na Mpenzi wa Mungu na ntakuombea siku zote ili uendelea kutumbua majipu na kuwafanya mafisadi waishi kama mashetani.

Asante sana.
Inaelekea unakaa karibu na mto ngono hats uwezo wako wa kufikiria finyu
 
Mkuu we ndo ulienda kusomea ujinga.Msome vizuri na umuelewe mwandishi.
Chuo gani wanatoa kozi ya Ujinga? Na no muda gani? Mnisaidie tafadhali kuna watu wana akili sana niwashauri wakapate hata kozi za muda mfupi ni vizuri kujifunza mambo mengi ikiwa ni pamoja na ujinga
 
Nani mwenye mtazamo sahihi katika hili? Hata mwekezaji mpya akija, kwa kodi zilizopo hatauza bidhaa kwa nafuu lakini hata hawa waliopo sasa ikiwa watapunguziwa au kusamehewa kodi kwa mzigo unaoenda Kagera hakika bei itashuka. Jibu lililotolewa limeonyesha upeo wake wa kufikiri na kisirani kwa mbunge wa upinzani. Nina uhakika, angekuwa mbunge wa CCM kawasilisha lile ombi asingemjibu vile
 
Haya nimekusikia, sasa natamka nenda waambie kuanzia sasa hivi wakuuzie 625/=per Kg!
 
Tumia hata akili kidogo kuelewa kuwa kubadilisha mkataba ni vigumu kuliko kuingia mkataba.

Mwekezaji wa kiwanda cha mabati atapewa masharti mbali mbali na serikali ikiwemo ya uuzaji wa mabati kwa wananchi wanaozunguka maeneno ya kiwanda kabla ya kuanza uwekezaji.

Huwezi leo kwenda kwenye kiwanda cha sukari ukaanza kuweka masharti wakati makubaliano yalikuwa ni mengine.

Hivi mlienda shule kusomea ujinga-By FaizaFoxy
hapo red pakurudie wewe.
Hivi umeelewa lugha alotumia MIA ama umekurupuka tuu??
jamani natafuta mwalimu wa mafumbo na tamathali ya semi snowhite njooo hukuuu
 
Chuo gani wanatoa kozi ya Ujinga? Na no muda gani? Mnisaidie tafadhali kuna watu wana akili sana niwashauri wakapate hata kozi za muda mfupi ni vizuri kujifunza mambo mengi ikiwa ni pamoja na ujinga
aisee yaan waalimu tuna kazi sanaaa. Mtu anaweza akatoa comment adi ukaskia hasira mweeh.................akili nyingine ni za kusamehewa kwakweli
 
Back
Top Bottom