Zeddicus Zu'l Zorander
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 797
- 929
Zeddicus huwezi kulinganisha issue ya Modric na Tott yake na Ngassa na Azam yake,wakati Modric anapoomba kuondoka Tott wanamkatalia ksbb wanamuhitaji ni kweli wanamuhitaji kiwanjani siyo kwenye daftari la usajili kama ilivyo kwa Ngassa Azam,Modric anahitajika sana Tott na anatumika sana uwanjani sote ni mashahidi lkn inakuwaje Ngassa ahitajike sana Azam na kutumika sana pale benchi?
Labda dogo ameamua kufanya mgomo baridi kwenye mazoezi hivyo kocha akaamua amuache kwenye kikosi cha kwanza, you know one problem of these players of ours they lack PROFESSIONALISM characters...