Eti Azam ni waleta mapinduzi ya soka hapa nchini,NAKATAA

Zeddicus huwezi kulinganisha issue ya Modric na Tott yake na Ngassa na Azam yake,wakati Modric anapoomba kuondoka Tott wanamkatalia ksbb wanamuhitaji ni kweli wanamuhitaji kiwanjani siyo kwenye daftari la usajili kama ilivyo kwa Ngassa Azam,Modric anahitajika sana Tott na anatumika sana uwanjani sote ni mashahidi lkn inakuwaje Ngassa ahitajike sana Azam na kutumika sana pale benchi?

Labda dogo ameamua kufanya mgomo baridi kwenye mazoezi hivyo kocha akaamua amuache kwenye kikosi cha kwanza, you know one problem of these players of ours they lack PROFESSIONALISM characters...
 
tuwe na tabia ya kuheshimu mikataba yetu,hata kama yanga walitaka wamrudishe walifikia dau la azam walilolihitaji?,nasikia walitaka wamchukue kipoa wakati wao azam wametia hela nyingi,hawa jamaa kiukweli utake usitake ndo wakombozi wa soka la ubabaishaji la bongo,acha wawafundishe simba na yanga nn wanapaswa kufanya na tuache ushabiki wetu wa kinazi kwani hili ndo linaloharibu soka letu,azam oyeeeee
 
azam wa kuleta mapinduzi ya soka ? wamejiingiza kwenye biashara ya kununua mechi kwani hamjui
 
Nikutafute kesho Kaka twende ground?,lkn tutakaa jukwaa la Yanga ili ushangilie vizuri hao Wageni wako
Mkuu unataka nikae jukwaa la Yanga halafu nishangilie wageni? naona umechoka kuona post zangu humu. Ila kiukweli AZAM wangetufunga goli moja au kututoa kwenye penati ningeweza kuwashangilia ila kwa kipigo kile hata wakinipa hela nitazila halafu naenda kushangilia wageni, hicho kipigo ni kikubwa mno naona waliamua kuwalipia kabisa kipigo tulichowapa nyie kama Man City walivyowalipia Arsenal kwa Man United.
 
Zeddicus huwezi kulinganisha issue ya Modric na Tott yake na Ngassa na Azam yake,wakati Modric anapoomba kuondoka Tott wanamkatalia ksbb wanamuhitaji ni kweli wanamuhitaji kiwanjani siyo kwenye daftari la usajili kama ilivyo kwa Ngassa Azam,Modric anahitajika sana Tott na anatumika sana uwanjani sote ni mashahidi lkn inakuwaje Ngassa ahitajike sana Azam na kutumika sana pale benchi?

Nimeona mambo ya Ngass leo.
 
Nimeona mambo ya Ngass leo.
o

Umeona enh,huyu Muingereza ni Mshenzy kimoyomoyo anamkubali sana Ngassa ila huwa hampangi ksbb ya kumkomoa,ila akiona maji yamezidi unga aliowapanga hawamfanyii mambo utaona anamuinua kwenye benchi,refer mechi na Tusker na hii ya leo dhidi ya Vita,ksbb aliona anahitaji ushindi imebidi amuingize lkn mechi ile na Simba ksbb ushindi ulikuwa kweupe alimpiga benchi dk zote 90+5.
Watake wasitake Kijana atarudi nyumbani tu
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom