Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,427
Wewe yako iko wapi?Ain't we all?
Stop stupid arguments. Go create your own trains.
Bragging for your shemeji's car?
Wewe yako iko wapi?Ain't we all?
Stop stupid arguments. Go create your own trains.
Bragging for your shemeji's car?
Wewe yako iko wapi?
Mimi siwezi. Wewe unaweza?Wewe unasema watu wajifunze kuunda train. Wewe unaeza unda hata baiskeli ama ni mdomo uko nayo kubwa?
Siwezi. Ulikuwa unaongea ukisema 'nyinyi' badala ya kusema 'sisi' hatuwezi unda. Nilikuwa nakukumbusha kuwa wewe pia ni mwafrika kama sisi.Mimi siwezi. Wewe unaweza?
Unaropoka sana kanywe supu ukate gongo.
Sawa.Siwezi. Ulikuwa unaongea ukisema 'nyinyi' badala ya kusema 'sisi' hatuwezi unda. Nilikuwa nakukumbusha kuwa wewe pia ni mwafrika kama sisi.
Wacha yaishe.Sawa.
Tinachobishania hapa nini?
Kubali tu. Ni ujinga tu kubishana eti train ya nani nzuri wakati kila mtu kanunua kwa namna zake na mahitaji yake.Wacha yaishe.
Mamalai unakuwaga na kisirani, nn shida huwaga kwani, umeolewa?Kubali tu. Ni ujinga tu kubishana eti train ya nani nzuri wakati kila mtu kanunua kwa namna zake na mahitaji yake.
Ningewaona wa maana mngekuwa mnabishania trains mnazounda wenyewe.
Pambaff kabisa.