Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 5,674
- 2,349
Wewe unaishi Tanzania? JPM aliwafanya nini? panya wote walijificha mwenyeketi wao tuandamane akajikuta yuko peke yake. Maalim Seif alikuwa ana ushawishi mkubwa kwao hakutoka hata mtu mmoja. Kaja Mama kambambika kesi mwenyekiti sijui mwezi wa ngapi yuko ndani kimyaa wote wako busy mitandaoni. kusimamia haki ujasiri sio kelele nyuma ya keyboard. Na yule mzee sikuwahi kumpenda ila leo ningependa angekuwa hai maana alijuwa kuwanyosha. Mama alitaka kuanza na upole wakamwambia Mama watakupanda kichwani matokeo tumeyaona. wakati mwingine tunahitaji watu makatili ili kunyoka.
Mkuu unapofanya hayo unaongeza pressure kwenye mtungi wa gesi na huko mbele ukiripuka huwezi kuzuia tena . Nguvu kabisa hazijengi nchi zinazalisha chuki ya ndani kwa ndani na yakianza ndio hayo yaliyotokea Syria .