Armenia awali alikuwa vizuri sana na kuelekea kuwazidi Azerbaijan.Lakini baadae haswa baada ya matumizi makubwa ya Drones za Uturuki,Armenia alishindwa vibaya ambapo mamia ya vifaru vilivyokuwa frontline viliteketezwa na askari wengi kuuliwa.Drones were game changer in favor of AzerbaijanAzerbaijan ilipoteza Wanajeshi wengi Sana Mpaka ikaelekea kushindwa kabisa ndipo Wanajeshi wa Uturuki ikawabidi waingie Frontline Wenyewe.