Viwanda vitatumia nini,hahah.Ebo kama tuna watumiaji umeme wachache wanaoutaka,Unataka tuwe na megawatts nyingi za umeme za nini? WE VIPI?
Well said.labda JUma Pembe Magogo asiwe kiongozi wa tz,ndio tunaweza kupiga atua za maendeleo!Unajua Hawa wabongo wakiskia watu wanaendelea lazima watatafuta ubishi... Utaskia hata tz wataanza yao next yr
Kwa issue ya ndege namkubali Magu..Tanzania priority dreamliner.
Kwahiyo unaandika hivi ili kutujaza upepo?Waethiopia sio wa mchezomchezo.
Nyingine zinauzwa nje ya nchi na kupata fedha za kigeni acha ushamba.Ebo kama tuna watumiaji umeme wachache wanaoutaka,Unataka tuwe na megawatts nyingi za umeme za nini? WE VIPI?