Ethiopia: Facebook yafuta ujumbe wa Waziri Mkuu uliowataka wananchi "kuwazika" TPLF

Tunatunza hii comment tutarudi hapa miezi michache. Hata Eritrea walianza hivi nishasema uko juu
Wangekuwa wanajitenga wasingeungana na waasi wa Ola au makundi mengine ili kumpinga Abiy ila wangebaki peke yao tu.
 
Mkuu mzozo wa Kenya na Alshabaab au Msumbiji na Isis sio Vita vya wenyewe kwa wenyewe kama Ethiopia.

Huko Ethiopia ni vya wenyewe kwa wenyewe lakini Abiy amealika taifa hasimu ili kupiga raia wake waasi, isitoshe jeshi la Eritrea limeshutumiwa kwa uhalifu wa kivita huko Tigray , hayo ni makosa makubwa kwa Abiy.
Ila jamaa mgumu kuelewa atarii 😀😀
 
Waziri mkuu kibri kitamponza. Aliamua kushugulikia tatizo kijeshi. Sasa haooo wanakuja capital city. Mwisho wa kibri ni anguko la aibu. Huu ni mfano mdogo wengine pia wajifunze. Ethiopia inaendeshwa kwa propaganda kuonesha kuwa mambo ni safi. Lkn ukiachilia mbali uasi wa Tigray...tizama vile vijana wanaikimbia nchi yao kila kukicha hali mbaya ya uchumi hakuna ajira. Wahamiaji haramu toka ethiopia ni wengi sana nchini hapa nchini. This means something is going wrong in Addis Ababa
Hilo jeshi limetumwa na Wamisri, issue ni bwawa la Gerd
 
Wangekuwa wanajitenga wasingeungana na waasi wa Ola au makundi mengine ili kumpinga Abiy ila wangebaki peke yao tu.
Rejea vita yao ya 1993 mbona kama umeiruka hiyo historia. Waliungana waasi hivihivi alafu Eritrea ikajitenga
 
Rejea vita yao ya 1993 mbona kama umeiruka hiyo historia. Waliungana waasi hivihivi alafu Eritrea ikajitenga
Kwa Sasa ni tofauti mkuu.....wanataka kurudi madarakani tu sio kujitenga maana itakuwa vigumu kutambulika na kujiendesha
 
Ila kitendo cha kushirikiana na Eritrea kulishambulia jimbo lake la Tigray lilikuwa ni usaliti mkubwa kwa mamlaka yake.
Mkuu nyuma ya Eritrea pia kulikuwa na vikosi kutoka somalia na hii pia baada ya taarifa za ujasusi kuvuja kwamba kuna vijana wa somalia wanapigana upande wa serikali ya Ethiopia nako kule somalia ilileta matatizo makubwa ila ukweli ni kwamba watgray kuungana na oromo ni moja ya kosa ambalo halikutakiwa kufanyika yaani hapo Abby ahmed sijui tu itakuaje
 
Kwani imeandikwa wapi kuwa ni lazima uilazimishe mwanZa kuwa sehwmu ya Tanzania labda wamwanza wenyewe wamechoka kuwa watanzania na hawaitaki tena Tanzania ndo maana wakaamua kujitenga
Ipo kikatiba tafakari vizuri,utajua Mwanza haiwezi kuwa nchi mpaka hapo katiba itakaposema tofauti.So ikitokea Mwanza ikalazimisha kujitenga,huo utakuwa ni uasi na tutadeal nao kama waasi wengine tu
 
Ipo kikatiba tafakari vizuri,utajua Mwanza haiwezi kuwa nchi mpaka hapo katiba itakaposema tofauti.So ikitokea Mwanza ikalazimisha kujitenga,huo utakuwa ni uasi na tutadeal nao kama waasi wengine tu
Hii katiba iliandikwa na nani labda Mungu au nani kama ni Mungu sawa lakini kama ni binadamu manake ni tamaa tu za kimwili na kimaslahi za binadamu ndo zilizopelekea kuandikwa kwa katiba ya aina hii
 
Hakuna huo ushahidi alafu mifano ya UN kukiuka haki za binadamu ni mingi tu. UN imehusika kwenye mapinduzi ya Rais wa Haiti anaitwa Jean Aristide, lakini pia UN imehusika na kusababisha kipindupindu Haiti kilichopelekea vifo sio chini ya watu 10000. UN sio wasafi kama unavyofikiri.

UN Na NATO ni moja kati ya makundi ya kigaidi hatari kuwahi kutokea dunian;
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom