Ethiopia: Binti aliyetekwa akaokolewa na simba watatu

pistmshai

JF-Expert Member
Dec 12, 2016
1,315
3,680
MUNGU ANAPOTAKA KUKUSAIDIA, ATAKULETEA MSAADA AMBAO HAUKUUTARAJIA KABISA

hili tukio lilitokea June 2005, huko ETHIOPIA lakini nimeshangazwa kuwa very popular hivi karibuni.

"Binti wa miaka 12,alietekwa na kupigwa na wanaume saba ambao walikuwa katika jaribio la kumlazimisha kuolewa na mmoja kati yao, alikutwa akilindwa na simba watatu ambao walimuokoa huyu binti kwa watimua mbio wale wanaume watekaji kwa muda wa masaa 12" Polisi walisema.

Polisi waliongeza kwa kusema,"Simba walisimama na kamlinda binti hadi tulipompata, na baada ya hapo walimuacha bila kumdhuru na kutokomea msituni, kama hao simba wasingekuja kumuokoa, ingekuwa hatari zaidi, kwa maana mara nyingi hawa mabinti wadogo wamekuwa wakibakwa na kupigwa vibaya kwa lengo la kulazimishwa kuolewa"

NI AJABU NA KWELI..!

download (1).jpg


Ethiopian girl reportedly guarded by lions
 
MUNGU ANAPOTAKA KUKUSAIDIA, ATAKULETEA MSAADA AMBAO HAUKUUTARAJIA KABISA

hili tukio lilitokea June 2005, huko ETHIOPIA lakini nimeshangazwa kuwa very popular hivi karibuni.

"Binti wa miaka 12,alietekwa na kupigwa na wanaume saba ambao walikuwa katika jaribio la kumlazimisha kuolewa na mmoja kati yao, alikutwa akilindwa na simba watatu ambao walimuokoa huyu binti kwa watimua mbio wale wanaume watekaji kwa muda wa masaa 12" Polisi walisema.

Polisi waliongeza kwa kusema,"Simba walisimama na kamlinda binti hadi tulipompata, na baada ya hapo walimuacha bila kumdhuru na kutokomea msituni, kama hao simba wasingekuja kumuokoa, ingekuwa hatari zaidi, kwa maana mara nyingi hawa mabinti wadogo wamekuwa wakibakwa na kupigwa vibaya kwa lengo la kulazimishwa kuolewa"

NI AJABU NA KWELI..!

View attachment 455057

Ethiopian girl reportedly guarded by lions
NI WALE SIMBA WA YUDA
Haile sellasie
 
Kwaiyo yesu alikuwepo kwenye ilo tukio akamuokoa nasio Simba?.mungu ndokamnusuru uyo mtoto yesu ninabii tu wa m/mungu na sasa hayupo ila mungu yupo kila sehemu tuendayo

Yesu ndio kamwokoa na naamini hivyo.Hutaki unaacha wala hulazimishwi kuamini.
Kwangu mimi Yesu ana uwezo Mkubwa sana wa Kutenda Miujiza maana yupo popote muda wote.
 
MUNGU ANAPOTAKA KUKUSAIDIA, ATAKULETEA MSAADA AMBAO HAUKUUTARAJIA KABISA

hili tukio lilitokea June 2005, huko ETHIOPIA lakini nimeshangazwa kuwa very popular hivi karibuni.

"Binti wa miaka 12,alietekwa na kupigwa na wanaume saba ambao walikuwa katika jaribio la kumlazimisha kuolewa na mmoja kati yao, alikutwa akilindwa na simba watatu ambao walimuokoa huyu binti kwa watimua mbio wale wanaume watekaji kwa muda wa masaa 12" Polisi walisema.

Polisi waliongeza kwa kusema,"Simba walisimama na kamlinda binti hadi tulipompata, na baada ya hapo walimuacha bila kumdhuru na kutokomea msituni, kama hao simba wasingekuja kumuokoa, ingekuwa hatari zaidi, kwa maana mara nyingi hawa mabinti wadogo wamekuwa wakibakwa na kupigwa vibaya kwa lengo la kulazimishwa kuolewa"

NI AJABU NA KWELI..!

View attachment 455057

Ethiopian girl reportedly guarded by lions
Kumbukumbu nzuri, pia tujikumbushe hata hapa Tanzania kuna nyani waliwahi kumtunza mtoto aliyekuwa katupwa jalalani. Walimlea vizuri ila shida ikaonekana yule mtoto alianza kujifunza tabia za nyani. Polisi walijaribu kumchukua mtoto kwa nyani aliyekuwa anamlea ila nyani huyo alikuwa mkali kupita kiasi, polisi wakaona isiwe shida wakampiga yule nyani risasi na kuchukua yule mtoto! Ilikuwa ni tukio la aine yake ila kitendo cha polisi kumuua yule nyani hakikuwa vizuri kwani naamini kuna njia nyingine zingeweza kutumika katika hali ile.
 
Back
Top Bottom