Ethiopia Airlines

mge

JF-Expert Member
Dec 19, 2013
558
179
Ndege ya Ethiopian Airline iliyokuwa imetua kwa dharura katika uwanja mdogo wa Arusha ikiwa na abiria zaidi ya 200 juzi, imefanikiwa kuruka salama kutoka uwanjani hapo na sasa imewasili katika uwanja wa ndege wa KIA salama. Source:RADIO1 STEREO
 
Ndege ya Ethiopian Airline iliyokuwa imetua kwa dharura katika uwanja mdogo wa Arusha ikiwa na abiria zaidi ya 200 juzi, imefanikiwa kuruka salama kutoka uwanjani hapo na sasa imewasili katika uwanja wa ndege wa KIA salama. Source:RADIO1 STEREO

Mambo ya wenzetu hayo, ashukuriwe Mungu aliyefanya hayo.
 
Ni kweli kabisa kaka ngoja tusubiri maelezo kwamba iliwezaje kuruka wakati lnasemekana run way ya arusha ni fupi kuiwezesha ndege ile kuruka!
 
Ni kweli kabisa kaka ngoja tusubiri maelezo kwamba iliwezaje kuruka wakati lnasemekana run way ya arusha ni fupi kuiwezesha ndege ile kuruka!

Walisema itamwaga mafuta na kupunguza mizigo labda ndio maana imefanikiwa kuruka
 
Ile ya Air Tz sio mbovu ndo mana imekaa tu na kama ujuavyo Tz kukarabati kutu ni ishu na pia shirika lenyewe bado linayumba. Inawezekana pale ndo imefika
 
Ile ya Air Tz sio mbovu ndo mana imekaa tu na kama ujuavyo Tz kukarabati kutu ni ishu na pia shirika lenyewe bado linayumba. Inawezekana pale ndo imefika

Hivi unajua kuwa wakati EAC inavunjika tulikuwa na ndege sawa na Kenya, leo hii Kenya airways wapo wapi? Tanzania ni shamba la bibi
 
Serikali wanasubiri ioze ikatwe scraper, biashara ya vyuma chakavu nchi hii ndiyo dili
 
Sasa mbona wataalamu humu JF walituambia mpaka wafungue baadhi ya viti humo ndani ya ndege kupunguza mzigo then ndiyo iruke tena ikiwa na marubani tu? Au yote hayo yamefanyika tayari?

Tatizo hizi Id zetu,
Unaweza kuta ushauri au mawazo hayo yalitolewa na mtu yupo chicha na hata ndege yenyewe haijui. Nikukumbushe kitu, Ile meli ya MV Bukoba ilizama kwa mtindo huu wa kuto sikiliza watalaam, kuna kigogo mmoja wa serikali huko A town alienda kutoa amri kwa Rubani ashushe abiria kinguvu akidhani ni maandamano. Kila taaluma ina watu wake, kama hujui kaa kimya.
 
Back
Top Bottom