Kama unataka kubadili kichwa tu, program aliyoitaja sakasaka nii sahihi na straight foward huitaji ujuzi wa hali ya juu kui operate. Lakini kama unataka kufanya "high-level image editing", tafuta Adobe Photoshop CS 6. Ubaya wake, ni kwamba sio watu wengi wana uwezo wa kuimaster kiurahisi, the software is big and has a lot of things, it might take some time to learn.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.