bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
wepesi sanaWatanzania tunapenda kukurupuka sana.
wepesi sanaWatanzania tunapenda kukurupuka sana.
Nilishawahi kusema hapa, waliokuwa katikati ya jangwa la Sahara hata chemchemi yenye maji ya vumbi wataisifia tu.
Sio kwa sababu maji ni mazuri sana, bali kwa sababu hamna matumaini zaidi.
Mfa maji heshi kutapatapa, atataka kushikilia hata unywele ueleao kwa matumaini kwamba utamsaidia.
Sasa huyu binti ndo kwanza kamaliza shule hata political compass hajaipata vizuri, let alone kufikisha umri wa kugombea urais, hajapata hata ubunge wa viti maalum for half a term tu.
Mshaanza kumsema urais. What's next?