Esther Reuben is no more!

Mwita Maranya

JF-Expert Member
Jul 1, 2008
10,564
7,970
Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kwamba Bi. Esther Reuben ameaga dunia muda mfupi uliopita katika hospitali ya Hindu Mandal jijini Da es salaam.

Kwa wale waliosoma Moshi technical secondary school 1993-1996, Technical College Arusha 1998-2000, Dar es salaam Institute of Technology 2001-2004, waliowahi kufanya nae kazi Powertechnics na OTIS pamoja na watu wote mnaomfahamu, poleni kwa msiba huu.

Taarifa zaidi kuhusiana na mipango ya mazishi pamoja na kuhani msiba itafahamika baadae kutokana na maelekezo ya familia yake.

Poleni sana familia, ndugu jamaa na marafiki.
 
Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kwamba Bi. Esther Reuben ameaga dunia muda mfupi uliopita katika hospitali ya Hindu Mandal jijini Da es salaam.

Kwa wale waliosoma Moshi technical secondary school 1993-1996, Technical College Arusha 1998-2000, Dar es salaam Institute of Technology 2001-2004, waliowahi kufanya nae kazi Powertechnics na OTIS pamoja na watu wote mnaomfahamu, poleni kwa msiba huu.

Taarifa zaidi kuhusiana na mipango ya mazishi pamoja na kuhani msiba itafahamika baadae kutokana na maelekezo ya familia yake.

Poleni sana familia, ndugu jamaa na marafiki.

Namfahamu na nimekuwa nikimtembelea nyumbani kwake Tabata na hadi alipolazwa pale Hindu Mandal, Ni msiba mzito kwa kweli.....
 
Uneweza kufafanua kidogo aina ya uhusiano wao wa karibu !.Sijasoma huko mkuu.

Hapana, sijasoma huko, nimemfahamu kupitia kwa ndugu yangu ambaye wana uhusiano wa karibu. kwani na wewe umesoma huko?
 
Nimewasiliana na mdogo wake hivi punde, wako njiani wanarudi nyumbani kwa marehemu Tabata, na msiba utakuwa hapo Tabata Kimanga.

mkuu ahsante kwa update,

unaweza kutoa maelekezo kidogo kwa wale watakaokuwa wanakusudia kufika nyumbani kwa ajili ya kuhani msiba.
 
mkuu ahsante kwa update,

unaweza kutoa maelekezo kidogo kwa wale watakaokuwa wanakusudia kufika nyumbani kwa ajili ya kuhani msiba.

Ukipanda basi la Tabata Kimanga, unashuka kituo kinachoitwa njia panda, ni baada ya kutoka Mawenzi kituo kinachofuata, pale utavuka barabara na kufuata barabara ya vumbi moja kwa moja, ukifika kwa muuza mkaa unaweza kuuliza hapo utaelekezwa lakini sio vibaya kama ukichukua Bodaboda hapo njia panda kwani wao ni rahisi kufahamu eneo la msiba. nadhani nimeeleweka.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom