BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,496
- 5,693
Tanesco wanatudhulumu
Hata mimi najua hivyo kama ulivyosema. Kuna watumiji wadogo hasa wa vijijini wa chini ya units 75 kwa mwezi ndio wanufaika. Hii ni kwa nchi nzima na sio Bukoba tu.elfu 10 kwa tarrifs zote? Mbona hata dizzim watu wa tarrif 1 wanapata hizo 80 units? Au anatafuta huruma ya walalahoi na wanyonge?
aisee, wewe ndio usome vizuriWametajwa wakazi wa Kagera wanaotumia umeme wa Uganda soma vizuri kijana
Hapo ndo utagundua hata mashirika ya umma ni wezi, wakubwa, na sijui tutakuja kutokaje hapa tulipo ili hali Tnesco ina wateja wa kutosha , Biashara yoyote ili ikuwe na kustawa inahitaji wateja.Mbunge wa viti maalum kupitia chama cha CHADEMA, Esther Matiko amelalamikia gharama kubwa za umeme Tanzania huku akitolea mfano wakazi wanaoishi Kagera na kutumia umeme kutoka Uganda wanalipia 10,000 na kupata unit 80 ilihali kwa fedha hiyo Tanzania inanunua unit 28 pekee...
Ulichoandika hapa na mm ndicho nilielewa mwanzoni.aisee, wewe ndio usome vizuri
Alichosema wakazi wa kagera,mkoa ambao upo Tanzania, wanatumia umeme toka Uganda, na UNIT 80 wanauzia kwa Tsh. 10,000/= ilhali iyo elfu kumi kwa Bei ya shirika la umeme la Tanzania unapata Unit 28....
Hata huko Tarime kwao matiko watumiaji wengi (watumiaji wasiozidi unit 75 kwa mwezi) wanalipa sh 100 kwa unit 1.aisee, wewe ndio usome vizuri
Alichosema wakazi wa kagera,mkoa ambao upo Tanzania, wanatumia umeme toka Uganda, na UNIT 80 wanauzia kwa Tsh. 10,000/= ilhali iyo elfu kumi kwa Bei ya shirika la umeme la Tanzania unapata Unit 28....
TANESCO ni moja ya mashirika yaliyohujumiwa sana. Kama wangeachwa wajiendeshe bila mikono ya wanasiasa wangejiendesha kwa ufanisi sana na kutengeneza faida ya kutosha kila mwaka.Tanesco ina wateja Tz nzima tena wanapitiliza . sasa inakuwaje mara tuambiwe shirika linajiendesha kwa hasara ili hali wateja ni wengi sana. Tunahitaji watu sahihi wa kuiendesha TANESCO
Hata mimi najua hivyo, huyo mbunge utafti wake ni zeroHata mimi najua hivyo kama ulivyosema. Kuna watumiji wadogo hasa wa vijijini wa chini ya units 75 kwa mwezi ndio wanufaika. Hii ni kwa nchi nzima na sio Bukoba tu.
Ila Boss, tungeambiwa kwanza, huo umeme wa uganda, wanaBukoba wanalipa au kununua moja kwa moja kwa shirika la umeme la Uganda au TANESCO ndo wananunua kisha wanauza hilo eneo?aisee, wewe ndio usome vizuri
Alichosema wakazi wa kagera,mkoa ambao upo Tanzania, wanatumia umeme toka Uganda, na UNIT 80 wanauzia kwa Tsh. 10,000/= ilhali iyo elfu kumi kwa Bei ya shirika la umeme la Tanzania unapata Unit 28...
Pengine wasingeweza kupata hiyo faida kwakuwa wananchi wasingeweza kumudu gharama ya unit mojaTANESCO ni moja ya mashirika yaliyohujumiwa sana. Kama wangeachwa wajiendeshe bila mikono ya wanasiasa wangejiendesha kwa ufanisi sana na kutengeneza faida ya kutosha kila mwaka.
Mkuu, wawekezaji walio wengi wanakimbilia kwenye eneo la uwekezaji tu, hakuna mwekezaji aliyejitokeza kuwekeza kwenye usambazaji au usafirishaji wa umeme kwakujua fika gharama yake ni balaa kubwa.Ila Tanesco kuhodhi uzalishaji na usambazaji umeme inaweza kuwa chanzo hapa kwetu kwa bei ya umeme kuwa juu kwa watumiaji wengi ambao hawajajiandikisha kama wale wanaotumia kiwango cha chini.
Mkuu umenikumbusha Miaka mingi iliyo pita kipindi nikiwa advance ihungo boys high schoolna advantage nyingine kukatika ni nadra sana
Hata hiyo stiegler ikikamilika, bado umeme utakuwa bei juu tu.
Duuu, hebu funguka boss maana huenda una taarifa za ndani.Stiegler ipi tena? Ile 2115 MG? Mbona project imekufa?
Hasa baada ya kifo cha mbaya wakoHata hiyo stiegler ikikamilika, bado umeme utakuwa bei juu tu.