Esther Matiko: Tenda za ujenzi wa bandari ya Bagamoyo zitangazwe upya

Nani amekuambia Ester matiko na wenzie ni wanachama wa chadema au unajifanya hujui hao niwanachama wa kijani
 
Bagamoyo miaka nenda Rudi haiendelei .mapori kila mahali.
Bora ijengss hyo bahari mapori yapungue
Bandari ikijengwa Bagamoyo litakuwa jiji kubwa ndani ya mda mfupi kwa wawekezaji watamimika huko kuweka vitegauchumi vyao
 
Wachina walitaka kuwekeza kwa masharti ya kinyonyaji. Kwa mujibu wa Magufuli, hao mabepari walitaka lease kwa 99 years, hakuna kudevelop bandari nyingine, hakuna wa kuwadai kodi kwa miaka 33 etc

Kwa kuwa hakuna aliyedispute maelezo ya JPM mpaka leo na kwa kuwa hakuna maelezo mengine tofauti, kuupigia chapuo huu mradi bila kuweka details ni ukichaa aliousema Magufuli
watu walidanganya ooooh eti liz one kashikwa na madawa China ,bandari imemuokoa ..du wabongo nomasana
 
Unapingana nayo vipi wakati hata huo mkataba hata wabunge hawakuwahi kuuon yani uko ikulu tu huko.
Sasa unapingaje kitu abacho hukuwahi kukiona ndiyo maan zitto kaombwa uwekwe wazi.
Marehemu magufuli alitaka Rushwa toka kwa Wachina wakagoma kutoa Rushwa kwa sababu walisema wanaleta maendeleo makubwa Tanzania pindi Bandari ikikamilika na pia watatoa ajila kwa wazawa tenda kwa kampuni za watanzania , magufuli alipoona Wachina wamekuwa wagumu kutoa Rushwa na mkataba upo ikulu na hakuna wa kuthubutu kuomba asome vizuri ndipo akaamua kuwatishia Wachina ili waogope watoe Rushwa lakini Wachina wakawa wagumu kutoa Rushwa, alipoona hakuna kitu akaamua kutengeneza propaganda kuwa mikataba ina miaka 99 kodi wanachukua Wachina akiwa na Lengo la kusaka huruma toka kwa wananchi aonekane ni Mzalendo wakati hakuwa mzalendo alikuwa mpigaji kama wapigaji wengine tu.
 
Hivi kumbe JPM na serikali yake walikuwa wanademand mkataba wa mwaka mmoja? Kuspeculae hivi vitu ndio ujinga wenyewe wa baadhi ya waTZ
Magufuli alitaka Rushwa toka kwa Wachina wakagoma ndipo akawatengenezea propaganda zote mbaya
 
Chadema ni taasisi haisubiri meneno ya DJ
Kwa ufala wako huko ulipopakatwa unaona DJ ni tusi? Mbona profesa muhogo anazidiwa maarifa na akina kibajaji? DJ ni kazi ya wenye Akili kwani kumfurahisha binadamu ni kazi ya upendo mkubwa
 
Mbunge wa viti maalum kutokea Chadema mh Ester Matiko akichangia bungeni, amesema kama ujenzi wa bandari ya Bagamoyo kutoka kwa wachina una mashariti magumu, basi tenda zitangazwe upya na makampuni yaombe ili sisi watanzania tuamue ni kampuni ipi itujengee kwa manufaa ya taifa letu.

My take.
Najua Ndugai na Chadema hawatapenda kusikia ushauri huu wao wamejigeuza wapiga debe wa wachina
Huyu si mbunge wa NdugaiAmemtuma aje kumsemea!!
 
Huyu Ester Matiko inaeleakea kakurupuka!, Mradi wa Bandari ya Bagamoyo ni uwekezaji wa nchi 3, tz, China & Oman na sio tenda ya ukandarasi!
 
Kwenye video hii hapa chini, Magufuli aliusifu sana mradi wa bandari ya Bagamoyo, akamsifu Kikwete kwa kuuanzisha na akasema nothing will change, cha ajabu akaja kubadilika baadae

View attachment 1751075
Haaa! Ogopa technolojia. Sasa ile U turn ilikuwaje, hapa naye alikuwa hajausoma mkataba? Liko jambo sio bure ingawa yatupasa kuwa na tahadhari yasitukute ya Sirilanka.
 
Mbunge wa viti maalum kutokea Chadema mh Ester Matiko akichangia bungeni, amesema kama ujenzi wa bandari ya Bagamoyo kutoka kwa wachina una mashariti magumu, basi tenda zitangazwe upya na makampuni yaombe ili sisi watanzania tuamue ni kampuni ipi itujengee kwa manufaa ya taifa letu.

My take.
Najua Ndugai na Chadema hawatapenda kusikia ushauri huu wao wamejigeuza wapiga debe wa wachina
Kama Chadema kimemkataa siyo mwanachama wao, wewe ni nani utuambie mbunge wa viti maalum Chadema.
 
Huyu Ester Matiko inaeleakea kakurupuka!, Mradi wa Bandari ya Bagamoyo ni uwekezaji wa nchi 3, tz, China & Oman na sio tenda ya ukandarasi!
Wachina wakipewa kazi wao watazitangaza Tenda mbalimbali kwa makampuni ya Tanzania zikiwemo kusuply kokoto michanga cement na mengineyo hapo ndipo Mbunge Easther Matiku alipaswa kujikita zaidi
 
Haaa! Ogopa technolojia. Sasa ile U turn ilikuwaje, hapa naye alikuwa hajausoma mkataba? Liko jambo sio bure ingawa yatupasa kuwa na tahadhari yasitukute ya Sirilanka.
Mkataba wa Sirlanka na wa Tanzania ni tofauti kubwa mno kumbuka kule ni Nchi masikini haina rasilimali kama Tanzania
 
South Africa ina Bandari 4 kubwa East London, port Elizabeth, Capetown na Darban huku ikiwa na utitiri wa Bandari ndogo nyingi zenye uwezo mkubwa wa kupokea meli hata kubwa, Kila Bandari itasalia na majukumu yake, Mfano Bandari ya Dsm itasalia na mizigo ya ndani ya Nchi tu huku Tanga ikitumika kama Bandari ya Afrika mashariki lakini Bandari ya Bagamoyo itakuwa ni Bandari kubwa ya mizigo ya kimataifa kukuza maendeleo Tanzania na kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha meli kubwa Afrika
Mizigo ya kimataifa?
Ni mizigo ipi hiyo ambayo haiwezi kupakuliwa Dar?
DAR imehandle mizigo ya ZBRC tangu enzi na enzi na bado uwezo imeongezeka.
ZBRC = ZAMBIA BURUNDI RWANDA CONGO
 
Mizigo ya kimataifa?
Ni mizigo ipi hiyo ambayo haiwezi kupakuliwa Dar?
DAR imehandle mizigo ya ZBRC tangu enzi na enzi na bado uwezo imeongezeka.
ZBRC = ZAMBIA BURUNDI RWANDA CONGO
Bandari ya Dsm ina kina kifupi sana kuna meli kubwa haziwezi kufika zinaishia Darban kule South Africa na pia hata meli za kawaida hupanga foleni kwenye maji kusubiria kushusha mizigo kwa kifupi Bandari ya Dsm ilijengwa kwenye uchochoro ni gharama kubwa kuipanua zaidi.
 
Mbunge wa viti maalum kutokea Chadema mh Ester Matiko akichangia bungeni, amesema kama ujenzi wa bandari ya Bagamoyo kutoka kwa Wachina una mashariti magumu, basi tenda zitangazwe upya na makampuni yaombe ili sisi Watanzania tuamue ni kampuni ipi itujengee kwa manufaa ya taifa letu.

My take.
Najua Ndugai na Chadema hawatapenda kusikia ushauri huu wao wamejigeuza wapiga debe wa wachina

Hawa vibaraka wa spika mbunge ambaye kafukuzwa chama na kisheria haruhusiwi kuwa bungeni !!! sio mbunge wa Chadema ni mbunge wa Spika Ndugai
 
Mbunge wa viti maalum kutokea Chadema mh Ester Matiko akichangia bungeni, amesema kama ujenzi wa bandari ya Bagamoyo kutoka kwa Wachina una mashariti magumu, basi tenda zitangazwe upya na makampuni yaombe ili sisi Watanzania tuamue ni kampuni ipi itujengee kwa manufaa ya taifa letu.

My take.
Najua Ndugai na Chadema hawatapenda kusikia ushauri huu wao wamejigeuza wapiga debe wa wachina
THubutuu watu wana mafungu yao pale dada
 
Back
Top Bottom