ABC ZA 2025
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 1,158
- 701
Mbunge wa Tarime Mjini Mh Esther Nicholas Matiko ( Mb) aibua Ufisadi wa kutisha TBC.
Kampuni ya Star Media Tanzania LTD( Star Times & TBC ) kwa pamoja wameidanganya Serikali ya Tanzania kwamba hawajapata faida tangu kuanzishwa kwa kampuni hii mwaka 2009 takribani miaka 11 mfululizo.
Kwenye kampuni ya "Star Media Tanzania LTD"Serikali ya Tanzania kwa usimamizi wa TBC tunamiliki hisa 35% huku Star Times wakimiliki hisa 65%
Mwaka 2009 wakati Star Media Tanzania LTD inaanzishwa Sisi tulikuwa na US$ 83mil Sawa na tsh190bln wakati mradi mzima Ulikuwa na thamani ya US$ 238Mil takribani Tsh 547Bln
2019/2020 hadi Desemba 2019 walipapata hasara ya US$ 3,743,803, takribani tsh 6.8bln
Mwaka 2018 walipata hasara ya Tsh 19bln yaani kila mwaka wao ni hasara, hasara, hasara,
Mwaka Mmoja tu wa 2013/2014 ilipata hasara ya US$ 8,005,236 Sawa na tsh 17bln
Pamoja na kwamba hatujapata faida kwa miaka yote 11 Hata Mtaji wetu wa US$ 83mil Sawa tsh 191bln nao tumepigwa wote,
Sasa kampuni inamtaji (Negative equity) US$ 51.989 Sawa na takribani Tsh 119bln( Maana yake haina mtaji)
lakini kila tukiwaita Kwenye Kamati ya PAC hawatokei,
Je nani Yuko nyuma ya huu mchezo?
Je ni kweli CCM inapambana na Ufiasadi?
Je pamoja na hasara zote hizi kwanini Tanzania bado tunaendelea na Ubia? Nini maana ya haya yote?
Kampuni ya Star Media Tanzania LTD( Star Times & TBC ) kwa pamoja wameidanganya Serikali ya Tanzania kwamba hawajapata faida tangu kuanzishwa kwa kampuni hii mwaka 2009 takribani miaka 11 mfululizo.
Kwenye kampuni ya "Star Media Tanzania LTD"Serikali ya Tanzania kwa usimamizi wa TBC tunamiliki hisa 35% huku Star Times wakimiliki hisa 65%
Mwaka 2009 wakati Star Media Tanzania LTD inaanzishwa Sisi tulikuwa na US$ 83mil Sawa na tsh190bln wakati mradi mzima Ulikuwa na thamani ya US$ 238Mil takribani Tsh 547Bln
2019/2020 hadi Desemba 2019 walipapata hasara ya US$ 3,743,803, takribani tsh 6.8bln
Mwaka 2018 walipata hasara ya Tsh 19bln yaani kila mwaka wao ni hasara, hasara, hasara,
Mwaka Mmoja tu wa 2013/2014 ilipata hasara ya US$ 8,005,236 Sawa na tsh 17bln
Pamoja na kwamba hatujapata faida kwa miaka yote 11 Hata Mtaji wetu wa US$ 83mil Sawa tsh 191bln nao tumepigwa wote,
Sasa kampuni inamtaji (Negative equity) US$ 51.989 Sawa na takribani Tsh 119bln( Maana yake haina mtaji)
lakini kila tukiwaita Kwenye Kamati ya PAC hawatokei,
Je nani Yuko nyuma ya huu mchezo?
Je ni kweli CCM inapambana na Ufiasadi?
Je pamoja na hasara zote hizi kwanini Tanzania bado tunaendelea na Ubia? Nini maana ya haya yote?